Bollen Ngetti: Wana CCM wenzangu hebu tujitenge na unafiki na uoga wa kijinga...

msakaa jr

JF-Expert Member
May 18, 2017
6,347
6,557
Na Bollen Ngetti
HIVI wana CCM wenzangu hebu tujitenge na unafiki na woga wa kijinga then tuwajadili hawa wabunge wetu hususan wale wa kundi la "Inzile". Tusiogope kuchangia, tuongozwe na ukweli ndio kuwasaidia wala tusijadili chumbani!

Hivi, kuna sababu yoyote ya wabunge wetu hawa kukasirika wakiitwa misukule, matahira au viumbe wasioweza kujiongoza kwa utashi? Kuna ubaya gani tukiwafananisha na midoli ya umeme, "robot". Naomba nikiwa Mbunge nisiambukizwe ugonjwa huu unaoshambulia uwezo wa kufikiri na kuwafanya kuwa namna hii!
Tazama, mwaka 2016 wakati Serikali ya Magufuli ikizindua Mpango wa Maendeleo ya miaka 5 mbeld ya Wabunge jijini Dodoma, Rais Magufuli alielezea kwa kirefu umuhimu wa kujenga reli ya kisasa, SGR na kustopisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Wabunge hawa walishangilia kwa kiwango cha hatari kana kwamba Magufuli kashusha "mana" jangwani.

Ukaanza kuimbwa nyimbo za pambio kuhusu SGR.
Leo, Spika Ndugai kasema umuhimu wa Bandari ya Bagamoyo na kusimamisha ujenzi wa SGR, wabunge wale wale kwa sura na majina yao wakashangilia kama matahira! Kesho Magufuli atasifia SGR tena utawaona wakishangilia, hivi wanatumia viungo gani kufikiri? Kwa nini hawawezi kuwa na misimamo kwa mambo ya msingi kama watu wenye usawaziko wa akili? Tatizo ni nini? Nadhani hata Rais Magufuli anawashangaa sana maana hamumsaidii!
 
Na Bollen Ngetti
HIVI wana CCM wenzangu hebu tujitenge na unafiki na woga wa kijinga then tuwajadili hawa wabunge wetu hususan wale wa kundi la "Inzile". Tusiogope kuchangia, tuongozwe na ukweli ndio kuwasaidia wala tusijadili chumbani!

Hivi, kuna sababu yoyote ya wabunge wetu hawa kukasirika wakiitwa misukule, matahira au viumbe wasioweza kujiongoza kwa utashi? Kuna ubaya gani tukiwafananisha na midoli ya umeme, "robot". Naomba nikiwa Mbunge nisiambukizwe ugonjwa huu unaoshambulia uwezo wa kufikiri na kuwafanya kuwa namna hii!
Tazama, mwaka 2016 wakati Serikali ya Magufuli ikizindua Mpango wa Maendeleo ya miaka 5 mbeld ya Wabunge jijini Dodoma, Rais Magufuli alielezea kwa kirefu umuhimu wa kujenga reli ya kisasa, SGR na kustopisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Wabunge hawa walishangilia kwa kiwango cha hatari kana kwamba Magufuli kashusha "mana" jangwani.

Ukaanza kuimbwa nyimbo za pambio kuhusu SGR.
Leo, Spika Ndugai kasema umuhimu wa Bandari ya Bagamoyo na kusimamisha ujenzi wa SGR, wabunge wale wale kwa sura na majina yao wakashangilia kama matahira! Kesho Magufuli atasifia SGR tena utawaona wakishangilia, hivi wanatumia viungo gani kufikiri? Kwa nini hawawezi kuwa na misimamo kwa mambo ya msingi kama watu wenye usawaziko wa akili? Tatizo ni nini? Nadhani hata Rais Magufuli anawashangaa sana maana hamumsaidii!
Sijui niwape jina gani, nisijeitwa na kamati kuhojiwa.

Tuna wawakilishi na watumishi hopeless ktk chi hii.

Umesikia dhamira ya AG kupinga hukumu iliyotolewa na mahakama kuu juu ya MaDED kuwa wasimamizi?? Je AG anafanya hivyo kwa maslahi ya nani au ni aibu ya kugalagazwa akiwa ndiye mshtakiwa( mlalamikiwa) kwenye kesi ile?? Anaona abu AG kushindwa hoja??
 
Sijui niwape jina gani, nisijeitwa na kamati kuhojiwa.

Tuna wawakilishi na watumishi hopeless ktk chi hii.

Umesikia dhamira ya AG kupinga hukumu iliyotolewa na mahakama kuu juu ya MaDED kuwa wasimamizi?? Je AG anafanya hivyo kwa maslahi ya nani au ni aibu ya kugalagazwa akiwa ndiye mshtakiwa( mlalamikiwa) kwenye kesi ile?? Anaona abu AG kushindwa hoja??
Huyo achana nae tuzungumzie hawa wawakilishi wetu.Hii tabia Yao ya 'bendera' fuata upepo itakoma lini?
 
Waheshimiwa asilimia kubwa ni fursa kula posho na heshima mjengoni. Wanafiki wa kutupwa.Naona panga linakuja uwakilishi kwa mkoa wawili kwa jenda me na ke
 
Na Bollen Ngetti
HIVI wana CCM wenzangu hebu tujitenge na unafiki na woga wa kijinga then tuwajadili hawa wabunge wetu hususan wale wa kundi la "Inzile". Tusiogope kuchangia, tuongozwe na ukweli ndio kuwasaidia wala tusijadili chumbani!

Hivi, kuna sababu yoyote ya wabunge wetu hawa kukasirika wakiitwa misukule, matahira au viumbe wasioweza kujiongoza kwa utashi? Kuna ubaya gani tukiwafananisha na midoli ya umeme, "robot". Naomba nikiwa Mbunge nisiambukizwe ugonjwa huu unaoshambulia uwezo wa kufikiri na kuwafanya kuwa namna hii!
Tazama, mwaka 2016 wakati Serikali ya Magufuli ikizindua Mpango wa Maendeleo ya miaka 5 mbeld ya Wabunge jijini Dodoma, Rais Magufuli alielezea kwa kirefu umuhimu wa kujenga reli ya kisasa, SGR na kustopisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Wabunge hawa walishangilia kwa kiwango cha hatari kana kwamba Magufuli kashusha "mana" jangwani.

Ukaanza kuimbwa nyimbo za pambio kuhusu SGR.
Leo, Spika Ndugai kasema umuhimu wa Bandari ya Bagamoyo na kusimamisha ujenzi wa SGR, wabunge wale wale kwa sura na majina yao wakashangilia kama matahira! Kesho Magufuli atasifia SGR tena utawaona wakishangilia, hivi wanatumia viungo gani kufikiri? Kwa nini hawawezi kuwa na misimamo kwa mambo ya msingi kama watu wenye usawaziko wa akili? Tatizo ni nini? Nadhani hata Rais Magufuli anawashangaa sana maana hamumsaidii!
PhD nyingi huondoa maarifa. Wabunge wa upinzani hawana PhD lakini wanachangia kwa hoja za kuimarisha Binge na kusaidia Taifa. Wa CCM ni kugonga meza tu kwa lolote lisilotoka upinzani.
 
Hili ndio hasa tatizo la Farasi kuvuta Mkokoteni.
Hapo lazima wafikirie otherwise badala ya sisi kufikiria kwa niaba yao.
Maana kimsingi hata posho zao wanakula peke yao.
Hapo muheshimiwa ndio anajionea ana wabunge wa sampuli gani
 
Wewe unategemea nini wakati kuna wabunge wa kuteuliwa wanakaribia kuzidi wa kuchaguliwa. Wakuchaguliwa wenyewe ni kama Ndungai aliyechapa mwenzie fimbo kichwani mpaka akazimia.

Tusiende mbali watu kama Waitara ni mchumia tumbo hivyo unategemea nini? Wale wenye Phd nadhani wanatumia fursa ili wasomeshe watoto wao nje kwa raha zao wakati wakwetu wapo Kayumba. Ndiyoooooooooooo mpaka kieleweke.
 
Wabunge wa CCM ni waoga wa nafsi zao,uoga huo unajenga unafiki.
Unafiki unamuondoa mtu utu wake,na ukizoeleka unajenga tabia ya upofu wakuchangia miswaada bungeni.
Mwisho wake ni mbaya sana.Hatusogei hata kwa mijeredi.
Wanafanya makusudi ili population kubwa ibaki mbumbumbu ili wenyewe wazidi kupeta. Ndivyo ilivyo siasa ya kisoshalist na kicommunist. Animal farm.
 
Mleta mada sio CCM ungekuwa CCM ungekuwa na uelewa mkubwa .Huelewi katiba ya nchi inasenaje.Katiba ya nchi inasema kila mtu anastahili heshima na kuthaminiwa utu wake.Kumwita mtu taahira,msukule nk ni kumvunjia mtu heshima na utu wake .Haikubaliki na haivumiliki na Ni uvunjaji katiba na kosa kisheria
 
Mleta mada sio CCM ungekuwa CCM ungekuwa na uelewa mkubwa .Huelewi katiba ya nchi inasenaje.Katiba ya nchi inasema kila mtu anastahili heshima na kuthaminiwa utu wake.Kumwita mtu taahira,msukule nk ni kumvunjia mtu heshima na utu wake .Haikubaliki na haivumiliki na Ni uvunjaji katiba na kosa kisheria
Wewe ni mmoja wa mataahira. Upo hapo?
 
Na Bollen Ngetti
HIVI wana CCM wenzangu hebu tujitenge na unafiki na woga wa kijinga then tuwajadili hawa wabunge wetu hususan wale wa kundi la "Inzile". Tusiogope kuchangia, tuongozwe na ukweli ndio kuwasaidia wala tusijadili chumbani!

Hivi, kuna sababu yoyote ya wabunge wetu hawa kukasirika wakiitwa misukule, matahira au viumbe wasioweza kujiongoza kwa utashi? Kuna ubaya gani tukiwafananisha na midoli ya umeme, "robot". Naomba nikiwa Mbunge nisiambukizwe ugonjwa huu unaoshambulia uwezo wa kufikiri na kuwafanya kuwa namna hii!
Tazama, mwaka 2016 wakati Serikali ya Magufuli ikizindua Mpango wa Maendeleo ya miaka 5 mbeld ya Wabunge jijini Dodoma, Rais Magufuli alielezea kwa kirefu umuhimu wa kujenga reli ya kisasa, SGR na kustopisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Wabunge hawa walishangilia kwa kiwango cha hatari kana kwamba Magufuli kashusha "mana" jangwani.

Ukaanza kuimbwa nyimbo za pambio kuhusu SGR.
Leo, Spika Ndugai kasema umuhimu wa Bandari ya Bagamoyo na kusimamisha ujenzi wa SGR, wabunge wale wale kwa sura na majina yao wakashangilia kama matahira! Kesho Magufuli atasifia SGR tena utawaona wakishangilia, hivi wanatumia viungo gani kufikiri? Kwa nini hawawezi kuwa na misimamo kwa mambo ya msingi kama watu wenye usawaziko wa akili? Tatizo ni nini? Nadhani hata Rais Magufuli anawashangaa sana maana hamumsaidii!
yeye mwenyewe magufuli wale wale
 
Mleta mada sio CCM ungekuwa CCM ungekuwa na uelewa mkubwa .Huelewi katiba ya nchi inasenaje.Katiba ya nchi inasema kila mtu anastahili heshima na kuthaminiwa utu wake.Kumwita mtu taahira,msukule nk ni kumvunjia mtu heshima na utu wake .Haikubaliki na haivumiliki na Ni uvunjaji katiba na kosa kisheria
Haya maneno umeshamueleza Musiba..???

Yaani mtahaha sana... hata vya wazi mtapinga... Umeambiwa JPM wakati anaongekea SGR NA BAGAMOYO walishangilia... Na kusimamisha mradi wa BAGAMOYO bado wameshangilia, WEWE UNAWAELEWA WANACHOTAKA ..???
 
Kwanini wasiwe wanafiki kwa serikali badala ya kutufanyia sie tuliowachagua ? Afadhali huo unafiki wangeufanya wabunge wa kuteuliwa sio hawa wanaopita kwa jasho letu.Sidhani kwamba uwakilishi wa kimkoa unaweza anza hivi karibuni.
Waheshimiwa asilimia kubwa ni fursa kula posho na heshima mjengoni. Wanafiki wa kutupwa.Naona panga linakuja uwakilishi kwa mkoa wawili kwa jenda me na ke
 
Hii tabia Yao itakoma lini ?
PhD nyingi huondoa maarifa. Wabunge wa upinzani hawana PhD lakini wanachangia kwa hoja za kuimarisha Binge na kusaidia Taifa. Wa CCM ni kugonga meza tu kwa lolote lisilotoka upinzani.
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom