albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,034
- 1,999
Kiukweli Tanzania tupotupo tu hatujui tunataka Nini na NDo Mana hata viongozi wetu wanaamua wanalotaka wao....
Nakuapia leo MAGUFULI akisimama akasema anasitisha SGR Mana gharama zimekua kubwa wanna CCM tutashangilia pia Mana hatujielewi tunachokitaka..
Nakuapia leo MAGUFULI akisimama akasema anasitisha SGR Mana gharama zimekua kubwa wanna CCM tutashangilia pia Mana hatujielewi tunachokitaka..