msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,521
- 6,728
- Thread starter
- #21
Shida Yao nini haswa kuwa na mtazamo wa bendera? Kura tunawapigia sie wananchi iweje wakose msimamo kama wameteuliwa?
Hili ndio hasa tatizo la Farasi kuvuta Mkokoteni.
Hapo lazima wafikirie otherwise badala ya sisi kufikiria kwa niaba yao.
Maana kimsingi hata posho zao wanakula peke yao.
Hapo muheshimiwa ndio anajionea ana wabunge wa sampuli gani