Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,353
- 1,283
Wakuu nilikuwa naomba msaada boksi gani nzuri kwa software za simu, Bajeti yangu ni Million moja.
mkuu mimi ni fundi simu nina kazi nalo na nitalitumia kwa kufuata sheria kabisaMkuu nakushauri utafute biashara nyingine maana hii ina sintofahamu nyingi.
natak linalopiga karibia simu zoteInategemea na eneo lako unapata sana simu zipi
Recommended unlock tool wanyama sana
View attachment 2111234
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Mkuu unachokitafuta hauwezi kukipata kamwe.natak linalopiga karibia simu zote
Hakuna..ndio mana nikasema angalia eneo ulilopo kuna kazi za aina gan sananatak linalopiga karibia simu zote
mkuu na ufi box inapiga kazi gani na ganiMkuu unachokitafuta hauwezi kukipata kamwe.
Na kama watatokea programer wa kutengeneza hiyo software inayokidhi mahitaji yote itauzwa zadi ya usd 2000.
Cha msingi ainisha aina gani ya simu unazozilenga wewe na aina gani ya matatizo unayokumbana nayo ili uweze kusaidiwa.
Kuna box zinazodili na maswala ya network unlock, network repair na tasks ndogo ndogo.
Zipo zinazodili na cpu tu na siyo brand ya simu.
Zipo zinazodili na known brand pakee kama samsung, huawei, lg nk
Zipo kwa ajili ya chines phones nyingi hizi zinapiga hadi simu za batani.
Zipo za frp, zipo jtag, zipo za michoro ya saketi za simu nk.
Kama unataka zote sema kama unataka aina flani kulingana na simu unazokutana nazo sema ushauriwe hapa.
natak inayohusu cpu na frpMkuu unachokitafuta hauwezi kukipata kamwe.
Na kama watatokea programer wa kutengeneza hiyo software inayokidhi mahitaji yote itauzwa zadi ya usd 2000.
Cha msingi ainisha aina gani ya simu unazozilenga wewe na aina gani ya matatizo unayokumbana nayo ili uweze kusaidiwa.
Kuna box zinazodili na maswala ya network unlock, network repair na tasks ndogo ndogo.
Zipo zinazodili na cpu tu na siyo brand ya simu.
Zipo zinazodili na known brand pakee kama samsung, huawei, lg nk
Zipo kwa ajili ya chines phones nyingi hizi zinapiga hadi simu za batani.
Zipo za frp, zipo jtag, zipo za michoro ya saketi za simu nk.
Kama unataka zote sema kama unataka aina flani kulingana na simu unazokutana nazo sema ushauriwe hapa.
mkuu hii unlock tool official ina size gani yan mb au gb ngapi nimeshindwa kuipata au kama unaeza kutusaidia link itakuwa vizuri..Inategemea na eneo lako unapata sana simu zipi
Recommended unlock tool wanyama sana
View attachment 2111234
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Umeactivate hiyo software? Ingia kwenye official website yaomkuu hii unlock tool official ina size gani yan mb au gb ngapi nimeshindwa kuipata au kama unaeza kutusaidia link itakuwa vizuri..