Body Count yako inasoma ngapi mpaka sasa?

Body Count yako inasoma ngapi mpaka sasa?

Habari wana jamii forums
Let’s chat for fun boys and girls ukiulizwa muda mda huu body count yako inasoma ngapi utakuwa na kumbukumbu boys au girls wangapi umelala nao mpka sasa?

For me ni mmoja mpaka sasa naendelea kujitunza mpaka future wife atakapo kuja am waiting for her popote ulipo tambua nakusubri kijana mpole na mwenye hofu na mungu

Nice guy kama nyie ndio mnaambulia kupata single mothers,wanawake walishindikana na malaya wastaafu
 
Wahuni sio watu wazuri! Walipita nayo😂 body count mwezi wangu wa kuzaliwa toa 6
Hapo sasa sijui! Usiwaite wahuni, ni stage tu katika maisha lazim mtu apitie, it's totally normal.
 
Enzi za ujana wangu nimefanya sana fujo. Sitaki kukumbuka wala kutunza takwimu za dhambi zilizopita. Huu umri wa miaka 45 unatosha sasa kutulia na mama mkubwa wetu. Nashukuru kupiyanga kote Mungu alinivusha sala na tayari nimebarikiwa bibi na watoto watano (wa kike moja na wa kiume 4). Sasa hivi nasomesha (from II. Form I, class V, class II na Class I) na nakula maisha na mama yenu mkubwa. Okokeni kama mimi nyie vijana; Ukimwi upo na dhambi ni chukizo.
 
Back
Top Bottom