Bodi ya Pamba: Mfano wa kuigwa Duniani

Bodi ya Pamba: Mfano wa kuigwa Duniani

Hivi wafanyakazi wa Bodi ya Pamba wakienda kazini huwa wanafanya kazi gani asubuhi mpaka jioni?
 
RubbishTE="joshua_ok, post: 16168186, member: 90340"]bodi hii isifutwe wandugu wacheni tumalizie nyumba zetu kwanza ndo muje na hizo maneno. UKAWA mpoje asee kila kitu kikifutwa tutajengaje nchi/Viwanda?[/QUOTE]
Rubbish
 
mtatuua kwa presha asee. Daah jambo hili lisimfikie mheshimiwa wazii wa Kilimo tafadhali
 
Minaunga mkono hotuba ya waziri wa kilimo mbona mazao ambayo hayana hizi bodi kama mchele maharage yanandelea vizuri ?ni muda wa kuzitathmini uwepo wao kama una tija kabla ya kuzifuta
 
Bodi hii isipokuwa na ISO Certification nitashangaa maana ina standards za kimataifa.
 
Mkuu umenigusa aisee.
Hii ndo imenisomesha mpaka sasa nakula bata mjini.
Hili zao pamoja na kwamba tulikuwa tunanyonywa sana enzi hizo kuhusu bei, lakini ndo mkombozi wa maisha yangu.

Siku ya kuuza kulikuwa na Mzee mpimaji wa mizani (mzee Mwanzalima) lilikuwa linatuibia kilo zetu. hahahahaha, Mzigo ni kilo 90 lenyewe litasema 85 kilo tano hapo zimeondoka. Na hauwezi kuhoji. Nashangaa kwanini serikali imeshindwa kulithamini zao hili jamani. Hata Mh. Magufuli pale kwao Rubambangwe walikuwa wanalima sana pamba.
kweli kabisa
 
Bodi hii ipewe Tunzo ya Utumishi uliotukuka kwa kuboresha zao na wakulima wa Pamba wengi wao sasa ni mabilionea kupitia zao hilo.
 
Ipo haja ya kuipandisha bodi hadhi kufikia Mamlaka kamili kama ilivyo TCRA au TRA ili mgao wa VX na Nissan Patrol uwe mkubwa na bajet ya kusafiri iwe ya kutosha
 
Maeneo ya kwetu kuna hiyo "Igembensabo" imeua kiwanda cha hapo Manonga Choma cha Nkola kwa kumpa yule Rajan yamebaki machuma tu na kulikuwa msaada sana kanda hiyo ya Igunga na Nzega kwa wakulima na wamiliki wa malori
 
Back
Top Bottom