and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,116
Waongezewe Magari yenye 4WD na kiyoyozi kikali kwa ajili ya kuwatembelea wakulima vijijini.
Hata mi nimeshindwa kumuelewa huyu jamaa, nadhani ameleta mada ili uozo wa hii bodi ujulikane. Mi sioni majukumu yake kabisa, tena kwa taarifa tu, ktk mazao yanayoelekea kutoweka nchini ni pamoja na zao la pamba.Bahati nzuri mtumbua majipu naye alishalima pamba anajua uozo wenu,mnauza mbegu hazioti,hamna mkakati wa kufufua zao,hata register ya wakulima hamna,jineri zimekufa mbele ya macho yenu,mmeishia kuwatoza wakulima tozo mbalimbali,jipu la bodi ya pamba linatoa usahaha,unadondoka wenyewe kabla dokta hajafika,na akifika helmet ni muhimu kutokana na wingi wa usaha,nafikiri pengine yale magari ya kufyonza kinyesi yangefaa,mpira uwekwe kwenye tundu la jipu gari lifyonze
Hawajawahi kufanya lolote kati ya hayo, hii bodi ni ya kuvunjwa tu.Uzuri wa taasisi yoyote ni pale ambapo inaweza kuwasaidia watu wakati wa matatizo. Kwa kusema hivyo nina maana bodi ya Pamba kama imeweza kuwasaidia wananchi wake kupata soko wakati wa matatizo ya soko ni bodi nzuri. Kama soko limepatikana tu kwa sababu ya nguvu ya soko yaani mahitaji ya pamba ni makubwa duniani na hivyo kupelekea bei kuwa juu bodi haihitaji kusifiwa sana
Duniani? Au kanda ya Ziwa?Sisi wakulima wa Pamba kanda ya Ziwa tunajivunia bodi ya Pamba Tanzania kwa kufanya kazi zake kwa WELEDI mkubwa katika kututafutia masoko ndani na nje ya nchi kwa uharaka sana. Wakulima wenzangu wa pamba ni mashahidi kwa hili kwani tunajivunia pamba na jasho letu wengi wetu tumeweza kuwekeza katika miraid mikubwa mikubwa ya maendeleo na kilio cha kisasa kabisa (Teknolojia za kisasa) Kama ingekuwa uwezo wangu ningepandisha hadhi bodi hii na iwe wizara kamili (WIZARA ya MAENDELEO ya PAMBA)
** WEBSITE: www.cotton.or.tz
NB: Wafanyakazi wa bodi hii wanastahili pongezi kila siku mpya inapowadia.
**PAMBA KWA MAENDELEO YA VIWANDA.