Bodi ya Pamba: Mfano wa kuigwa Duniani

Bodi ya Pamba: Mfano wa kuigwa Duniani

Sisi wakulima wa Pamba kanda ya Ziwa tunajivunia bodi ya Pamba Tanzania kwa kufanya kazi zake kwa WELEDI mkubwa katika kututafutia masoko ndani na nje ya nchi kwa uharaka sana. Wakulima wenzangu wa pamba ni mashahidi kwa hili kwani tunajivunia pamba na jasho letu wengi wetu tumeweza kuwekeza katika miraid mikubwa mikubwa ya maendeleo na kilio cha kisasa kabisa (Teknolojia za kisasa) Kama ingekuwa uwezo wangu ningepandisha hadhi bodi hii na iwe wizara kamili (WIZARA ya MAENDELEO ya PAMBA)
** WEBSITE: www.cotton.or.tz
NB: Wafanyakazi wa bodi hii wanastahili pongezi hasa tukiazimisha siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi)
mkuu naomba nikuulize maswali
1:ww ni mfanyakazi wa hyo bodi ya pamba
2;umewahi kulima pamba?
3;wakulima wa pamba bado mnawakopa au mnawalip in cash?
5;zile store, mamlaka za pamba, na jineri zote zilizopo kanda ya ziwa ambazo zimebadilishwa matumizi bado ni mali ya mamlaka yenu..
5: hyo bodi ya pamba, inafanya kazi kwa masilahi ya serikal, bodi, au mkulima wa pamba?

mwisho jitahidi kunijib maana, m nimiongoni mwa watu ambao nlikopwa pamba sijawahi kulipwa...
 
Ndugu Mugosha usitetee kitu usichokijua, kama unafaida na hiyo bodi mfu basi waeleze wasioijua , mwisho nilimwomba mtoa/mleta mada asikumbushe machungu kwani mpaka leo watu wana receipt za mwaka juzi na hawajalipwa, kingine TCB iliua Vyama vya ushirika kwa usimamizi mbaya na ku overbill vyama vya ushirika kwa matumizi hewa, yote haya ingekuwa kesi ushahidi upo
 
unakumbuka kashfa ya bodi ya kahawa ya Maghembe kuteua wajumbe wa bodi kiupendeleo? ndiyo ujue wakulima hawana sauti kwenye hizi bodi ni serikali kupitia waziri wa kilimo. hata wakoloni wakati wanaanzisha crops boards waliwaambia wananchi ni kwa faida yao.
Ndugu Mugosha usitetee kitu usichokijua, kama unafaida na hiyo bodi mfu basi waeleze wasioijua , mwisho nilimwomba mtoa/mleta mada asikumbushe machungu kwani mpaka leo watu wana receipt za mwaka juzi na hawajalipwa, kingine TCB iliua Vyama vya ushirika kwa usimamizi mbaya na ku overbill vyama vya ushirika kwa matumizi hewa, yote haya ingekuwa kesi .ushahidi upo
Bwana kaka sina kitu ninafaidika moja kwa moja na bodi japokuwa ni mnufaika mkubwa wa zao la pamba. Lakini vile vile ninao uelewa wa kutosha na mambo yanayohusu pamba na kwa hivyo sichangii kwa mihemko kama 90% waliochangia katika suala hili. Nimesema tangu mwanzo kwamba aliyeanzisha mada katia chumvi na hivyo kuharibu kila kitu LAKINI wachangiaji nao wana zero understanding juu ya mambo yaliyoko kwenye sekta ya pamba. Wengi wanachangia kwa sababu tu wanajua kuandika lakini si kwa kujua lolote. Kuhusu kukopwa nasema siyo rahisi labda kama wamekopwa na ushirika unaozidi kuishia. Kwa ushahidi tafadhali weka receipt hapa ili usaidiwe
ulipwe. Juu ya bodi kuua ushirika hizo ni kauli za ushirika na zaidi ni NCU na SHIRECU, wanatafuta wa kufa naye.
 
HATA aibu huna wasukuma wamekimbia kulima pamba bei oovyo hata mbengu hazioti,mwenyekiti wa bodi wewe ni jipu na wajumbe wako wote na wakurungezi wote hamfai hata kidogo mmeua pamba kanda ya ziwa.
 
Ni ujinga kusifia bodi ya Pamba maana hujui unachokisifia
Kiuhalisia bodi ya Pamba inahusika 100% kudidimiza zao la Pamba
Mimi ni Afisa Kilimo ngazi ya wilaya huku kanda ya ziwa hivyo ninauzoefu wa miaka michache nashuhudia hali hii,
Zifuatazo ni sababu ya bodi ya Pamba kudidimiza zao la Pamba
1. Wafanyakaxi wa bodi, hii bodi imejaa watumishi wasio na uelewa na zao la Pamba mfn utakuta mtu Kasoma Agriculture economic and agribusinesses , food na mambo ya home economic n.k course zisizohusiana na Kilimo hasa physiology na production ya Pamba kwa ujumla hivyo hawajui wanachofanya zaidi ya kukimbia kimbia tu na kuleta barua mbambali
Pia waajiriwa wengi ni wa imani ya kiislam ( Fanya utafiti mdogo )
2. Mgongano wa majukumu kati ya idara ya Kilimo na bodi ya Pamba, bodi wanasimamia zao la Pamba lkn wanatakiwa kuwa karibu na idara ktk kila kitu wanachokifanya utakuta Afisa Kilimo anazuia Pamba chafu lkn mtu wa bodi akifika basi anapewa hela anaruhusu inunuliwe tena anawambia huyo Afisa Kilimo asiwasumbue
3. Bei ya zao la Pamba
Hapa ndo majanga KBS, bodi imeshindwa kusimamua bei nzuri ya Pamba ,hivyo wkt wote Mkulima anaibiwa kuna mwaka nilijaribu kulima akari 1 baadaye nikajikuta nimepata hasara ya laki 430000/= makampuni yanayonunua Pamba yanarobb hawa wa bodi kiasi cha kushindwa kufanya chochote hivyo Mkulima anapata hasara sema wao hawajui akiuza akapata hela kiasi basi anaona kapata hela kumbe hasara kubwa amekula
3. Mifumo mibovu ya usimamizi wa hili zao, bodi haina utaratibu mzuri wa kumfikishia Mkulima input kama MBEGU na hata zikija basi zimeoza nyingi na hivyo itamlazimu Mkulima maskini anunue MBEGU nyingi ili kufill gap maana nyingi haxioti, mbegu nzuri haya makampuni utengeneza Mafuta kumbuka bodi lazima wazihakiki mbegu kwz kufanya germination test kabla ya kuja kwa wakulima, dawa za vinyunyizi haziji kwa wakati na hata hizo zinaxokuja haziui wadudu effectively
Hizo ni baadhi ila ndugu zangu hii bodi ni jipu kubwa linalozolotesha zao LA Pamba nchini nakumbuka PM alisema atashughulikia matatizo ya zao la Pamba na tumemkumbusha, tunategemea aifumue upya aipe meno kuwabana wafanyabiashara wana siasa wanaotoka kwa kuwanyonya wakulima
Kwa sasa wakulima wanadhulumiwa sana ndo maana wanatia Maji, mchana nk ili Pamba iwe nzito zaidi maana wanaibiwa kweny mzani pia , baadaye mnunuzi anaalika watu wanaogea kweny Pamba haya yote bodi inatazama kupitia watu wake waliosambaa maeneo mengi.
Tumeanza kujizatuti kwa zao la alizeti ili liwe mbadala wa Pamba mpk mambo yakiwa mazuri lkn mambo yakiendelea hivi na hii bodi basi huku wilayani kwangu Pamba itafutika ingawa hawa watu wakikariri kitu hawaachi
Tunaanza miradi mwaka wa fedha 2016/17 lkn tunajikita kw alizeti, choroko na mbaazi zina faida kwa wakulima kuliko Pamba chini ya bodi ya Pamba
Ahsante ni
 
Aliyeleta huu uzi hajui chochote kuhusu PAMBA YA WASUKUMA.
Inawezekana nawe ni mwana bodi hiyo.....
Mkuu zao la pamba limekufa kifo kibaya sana kwa mikoa ya simiyu, shinyanga,geita, mwanza na tabora. Wakulima wananyanyasika na bodi inayojifanya kuwatetea wakulima kumbe hiyo bodi ni ya wanunuzi wa pamba ambayo inaenda kutetea maslahi yake binafsi. Leo bodi ya pamba inapuliza na kung'ata kwa maskini wakulima wa PAMBA.
Haiwezekani na haitakiwi leo Zao pendwa PAMBA (DHAHABU NYEUPE) kwa umaarufu na umuhimu wake duniani kupigwa BAO la kisigino na Zao la ALZETI (DHAHABU NYEUSI) ambalo ndo linakuwa zao mbadala kwa hawa wakulima waliosalitiwa na BODI YA PAMBA ambayo leo bila aibu inaleta uzi wa kuchefua hapa jamvini!

Bodi ya pamba ni jipu lililo kwiva haswa haswa. Naona linajihisi kutumbuliwa ndo maana linaleta blah blah hapa.
-Mleta mada omba msamaha kwa watanzania na wakulima wa pamba na utubu hiyo dhambi.
-Magu TUMBUA HILO JIPU
 
Ni ujinga kusifia bodi ya Pamba maana hujui unachokisifia
Kiuhalisia bodi ya Pamba inahusika 100% kudidimiza zao la Pamba
Mimi ni Afisa Kilimo ngazi ya wilaya huku kanda ya ziwa hivyo ninauzoefu wa miaka michache nashuhudia hali hii,
Zifuatazo ni sababu ya bodi ya Pamba kudidimiza zao la Pamba
1. Wafanyakaxi wa bodi, hii bodi imejaa watumishi wasio na uelewa na zao la Pamba mfn utakuta mtu Kasoma Agriculture economic and agribusinesses , food na mambo ya home economic n.k course zisizohusiana na Kilimo hasa physiology na production ya Pamba kwa ujumla hivyo hawajui wanachofanya zaidi ya kukimbia kimbia tu na kuleta barua mbambali
Pia waajiriwa wengi ni wa imani ya kiislam ( Fanya utafiti mdogo )
2. Mgongano wa majukumu kati ya idara ya Kilimo na bodi ya Pamba, bodi wanasimamia zao la Pamba lkn wanatakiwa kuwa karibu na idara ktk kila kitu wanachokifanya utakuta Afisa Kilimo anazuia Pamba chafu lkn mtu wa bodi akifika basi anapewa hela anaruhusu inunuliwe tena anawambia huyo Afisa Kilimo asiwasumbue
3. Bei ya zao la Pamba
Hapa ndo majanga KBS, bodi imeshindwa kusimamua bei nzuri ya Pamba ,hivyo wkt wote Mkulima anaibiwa kuna mwaka nilijaribu kulima akari 1 baadaye nikajikuta nimepata hasara ya laki 430000/= makampuni yanayonunua Pamba yanarobb hawa wa bodi kiasi cha kushindwa kufanya chochote hivyo Mkulima anapata hasara sema wao hawajui akiuza akapata hela kiasi basi anaona kapata hela kumbe hasara kubwa amekula
3. Mifumo mibovu ya usimamizi wa hili zao, bodi haina utaratibu mzuri wa kumfikishia Mkulima input kama MBEGU na hata zikija basi zimeoza nyingi na hivyo itamlazimu Mkulima maskini anunue MBEGU nyingi ili kufill gap maana nyingi haxioti, mbegu nzuri haya makampuni utengeneza Mafuta kumbuka bodi lazima wazihakiki mbegu kwz kufanya germination test kabla ya kuja kwa wakulima, dawa za vinyunyizi haziji kwa wakati na hata hizo zinaxokuja haziui wadudu effectively
Hizo ni baadhi ila ndugu zangu hii bodi ni jipu kubwa linalozolotesha zao LA Pamba nchini nakumbuka PM alisema atashughulikia matatizo ya zao la Pamba na tumemkumbusha, tunategemea aifumue upya aipe meno kuwabana wafanyabiashara wana siasa wanaotoka kwa kuwanyonya wakulima
Kwa sasa wakulima wanadhulumiwa sana ndo maana wanatia Maji, mchana nk ili Pamba iwe nzito zaidi maana wanaibiwa kweny mzani pia , baadaye mnunuzi anaalika watu wanaogea kweny Pamba haya yote bodi inatazama kupitia watu wake waliosambaa maeneo mengi.
Tumeanza kujizatuti kwa zao la alizeti ili liwe mbadala wa Pamba mpk mambo yakiwa mazuri lkn mambo yakiendelea hivi na hii bodi basi huku wilayani kwangu Pamba itafutika ingawa hawa watu wakikariri kitu hawaachi
Tunaanza miradi mwaka wa fedha 2016/17 lkn tunajikita kw alizeti, choroko na mbaazi zina faida kwa wakulima kuliko Pamba chini ya bodi ya Pamba
Ahsante ni
Kuna wakati miaka ile Mwl. Nyerere aliwahi kusema wakulima wanaweza kulima bila hata ya uwepo wa mabwana shamba hasa wa aina yako. Huna aibu, fanya pamba haifanyi vyema, ni zao gani huku kanda ya ziwa linalofanya vizuri chini ya usimamizi wa ofisi ya kilimo? Ofisi ya kilimo huna aibu kupanua mdomo kulaumu bodi, afadhali nasikia angalau bodi inapeleka mbegu. Halmashauri inapeleka nini kwa wakulima hadi iwe ikichukua 5% ya bei ya wakulima. Unatamba hadharani pamba inafutika wakati ndo zao pekee halmashauri zinapata cessy bure bila jasho. Hizo choroko na mbaazi, unalo soko wapi wewe mbumbumbu. Suala la watumishi wengi kuwa wa kiislam hii ni hoja ya kijinga. Nijuavyo bodi zote za mazao ni taasisi za serikali na utaratibu wa ajira za serikali unajulikana. Acha chuki za kidini kaka. Wewe na ukiristo wako pamoja na utaalam wako wa kilimo umesaidia nini huko simiyu kila mwaka chakula cha msaada toka serikalini. Usijiweke uchi kaka, ni wajibu wako pia kuangalia hayo masuala ya uotaji na utoaji elimu juu ya matumizi sahihi ya viuadudu. Dawa haziui, kwani bodi ni tpri. Inawezekana wewe siyo bwana shamba.
 
Bodi ya Maziwa nayo imefanya vizuri kwa miaka hii miwili.
 
Kuna wakati miaka ile Mwl. Nyerere aliwahi kusema wakulima wanaweza kulima bila hata ya uwepo wa mabwana shamba hasa wa aina yako. Huna aibu, fanya pamba haifanyi vyema, ni zao gani huku kanda ya ziwa linalofanya vizuri chini ya usimamizi wa ofisi ya kilimo? Ofisi ya kilimo huna aibu kupanua mdomo kulaumu bodi, afadhali nasikia angalau bodi inapeleka mbegu. Halmashauri inapeleka nini kwa wakulima hadi iwe ikichukua 5% ya bei ya wakulima. Unatamba hadharani pamba inafutika wakati ndo zao pekee halmashauri zinapata cessy bure bila jasho. Hizo choroko na mbaazi, unalo soko wapi wewe mbumbumbu. Suala la watumishi wengi kuwa wa kiislam hii ni hoja ya kijinga. Nijuavyo bodi zote za mazao ni taasisi za serikali na utaratibu wa ajira za serikali unajulikana. Acha chuki za kidini kaka. Wewe na ukiristo wako pamoja na utaalam wako wa kilimo umesaidia nini huko simiyu kila mwaka chakula cha msaada toka serikalini. Usijiweke uchi kaka, ni wajibu wako pia kuangalia hayo masuala ya uotaji na utoaji elimu juu ya matumizi sahihi ya viuadudu. Dawa haziui, kwani bodi ni tpri. Inawezekana wewe siyo bwana shamba.

Yawezekana wew ni kati ya wajinga wanaofanya kazi bodi ya Pamba wakati huna hata utaalam wa Kilimo cha zao la Pamba

Hiyo bodi ivunjwe wew fala ukafanye kazi ulizozisomea si kuibia wakulima
Umeambiwa ofisi ya Kilimo tunatoa MBEGU jinga nn
Its only extension service kwa wakulima na kusimamia muongozo mingine ya serikali
 
Wakuu tuacheni na bodi ya pamba yetu tuendelee kula per diems za dar-mwanza-dar na mgao wa Land cruiser VX na Nissan Patrol MPYA kila baada ya miaka mitatu.
** ubunifu pelekeni VETA hukooooo
 
Yawezekana wew ni kati ya wajinga wanaofanya kazi bodi ya Pamba wakati huna hata utaalam wa Kilimo cha zao la Pamba

Hiyo bodi ivunjwe wew fala ukafanye kazi ulizozisomea si kuibia wakulima
Umeambiwa ofisi ya Kilimo tunatoa MBEGU jinga nn
Its only extension service kwa wakulima na kusimamia muongozo mingine ya serikali
Sema zao moja tu ambalo kwa u extensionist na usimamiaji wako wa miongozo limefanikiwa katika wilaya unayosimamia. Wewe hutoi mbegu ndiyo, je bodi watalaamu wa mbegu? Mtalaamu gani wa kusimamia miongozo hujui kama kuna ASA na TOSCI. Kwenye cessy itokanayo na pamba unahusika lakini kwenye kusimamia zao Bodi. Mvivu wakubwa wa kufikiri.
 
Sema zao moja tu ambalo kwa u extensionist na usimamiaji wako wa miongozo limefanikiwa katika wilaya unayosimamia. Wewe hutoi mbegu ndiyo, je bodi watalaamu wa mbegu? Mtalaamu gani wa kusimamia miongozo hujui kama kuna ASA na TOSCI. Kwenye cessy itokanayo na pamba unahusika lakini kwenye kusimamia zao Bodi. Mvivu wakubwa wa kufikiri.
Bado hujasema vizuri bwana mdogo
 
Back
Top Bottom