Sisi wakulima wa Pamba kanda ya Ziwa tunajivunia bodi ya Pamba Tanzania kwa kufanya kazi zake kwa WELEDI mkubwa katika kututafutia masoko ndani na nje ya nchi kwa uharaka sana. Wakulima wenzangu wa pamba ni mashahidi kwa hili kwani tunajivunia pamba na jasho letu wengi wetu tumeweza kuwekeza katika miraid mikubwa mikubwa ya maendeleo na kilio cha kisasa kabisa (Teknolojia za kisasa) Kama ingekuwa uwezo wangu ningepandisha hadhi bodi hii na iwe wizara kamili (WIZARA ya MAENDELEO ya PAMBA)
** WEBSITE: www.cotton.or.tz
NB: Wafanyakazi wa bodi hii wanastahili pongezi hasa tukiazimisha siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi)
TANGIA WENYE GINERY WAKIONGOZWA NA NSAGALI,GUNGU,WALE WA CHAGA WA SHINYANGA KWA KUSHIRIKIANA NA WABUNGE KAMA CHEO,NA YULE WA MASWA WAKAMUONDOA MKURUGENZI MKUU KIJANA MTUNGA BASI BODI HAINA MWELEKEO.MIE NASHAURI MAGUFURI AIPITIE BODI NA AMURUDISHE MTUNGA KAMA MKURUGENZI MKUU BASI BODI ITAFANYA KAZI ILIYOTUKUTA.KWA SASA BODI IPO KAMA HAIPO VILE.