Bodi ya Mikopo inawaibia Watanzania

Bodi ya Mikopo inawaibia Watanzania

Jamaaan eeh mlipe tu na watoto wa wengine tusome miulize mm nasoma kozi ngumu bila boom ni shida tu wakati wenzangu wananunua nguo na simu za bei kwa boom tu wanamageto yao mimi nakaa hostel. Mlipe deni.
 
Kuna mambo yanatia hasira hii nchi basi tu.
 
Ukichukuwa deni la milioni 30, halafu kila mwaka ukawa unalipunguza kwa lakhi 4, maana yake ni kuwa utachukuwa tarikbani miaka 75 kulipa deni lote (30,000,000/400,000 = 75)! Na wakati huo utakuwa umetumia zaidi ya mil 100 kulipa milioni 30. Huu ni sawa na ujambazi ambao Bodi imehalalishwa kufanya. Ni ndoa ya kinyonyaji kabisa. Yaani ni sawa na kuapa kuwa utakufa na kuzikana na Bodi ya Mikopo!
Kwahiyo ukichukua mil 28 +1.6m=29.6 tofauti ya laki nne tu, sasa hapo unakuwa unalipa deni au una maktaimu?
 
NAOMBA MODS,WAUNGANISHE NYUZI ZOTE ZINAZOHUSIANA NA MALALAMIKO YA BODI YA MIKOPO KISHA WAUFANYE UWE STRICKLY.

HILI SUALA NI ZITO NA PANA MNO KWA MASLAHI YA VIJANA WANYONGE WALIOANZA KUPIGANA NA KUJIKWAMUA KIMAISHA

BINAFSI,HATA MIMI NI MHANGA MKUBWA TU WA HILI SUALA...NGOJA NIKAE VIZURI HALAFU NAMIMI NIELEZE VITUKO NILIVYOVIKUTA KWA HAWA JAMAA THEY SO CALLED HELSB

N.B. (DAWA YA DENI NI KULIPA TU,LAKINI SIO KWA HUU UTARATIBU KANDAMIZI ULIOPO SASA)
 
. Kwako *Dr.John Pombe Magufuli*

Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika maisha yao . Aidha, Asilimia 80 ya wanufaika wa mikopo ya bodi ni wale kina KAYUMBA Yaani watoto wa maskini.
Sheria ya mwaka 2016 ya bodi ya mikopo iliyofanyiwa marekebisho ni sheria *ANGAMIZI* kwa watoto maskini.
*Sheria imeweka wazi ( Watz wengi hawana tabia ya kujisomea) kuwa marejesho ya mkopo yatakuwa ni kwa 15%, na deni hilo litakuwa linaongezeka kila mwaka wa fedha kwa asilimia 6% ya deni halisi la mwanzo.*
Kwa mfano.
*Daktari ambae amesomeshwa na bodi, asilimia kubwa deni lao huwa kati ya mil 25 mpaka 30.*
Basic salary yake ni 1.5 Mil
Makato ya mshahara wake ni kama ifuatavyo
Helsb 225, 000 TSH
PAYE 295,090 TSH
NHIF 42,420 TSH
Pension. 80, 000
Total deduction 642, 510 TSH
take home yake ni 857,590 TSH —ana watoto na anasomesha!
-----------------------------
Kwa sheria ya bodi ya mikopo, huyu bwana kwa mwaka ataweza kulipa 2.7Mil ( 225,000X12)
Hivyo katika deni lake la 30Mil , atakuwa amepunguza deni lake hadi 27, 300,000TSH ikifika mwisho wa mwaka wa fedha.
Mtu huyu atapaswa kuanza mwaka wa fedha mpya akiwa na deni la 27, 300, 000 TSH.
Lakini sheria ya bodi inasema hapana, unatakiwa kuongezewa 6% ya 30 mil ambayo ni 1.8 Mil
Hivyo deni analopaswa kuanza nalo ni 27,300,000+ 1.8 Mil sawa na 29, 100, 000 TSH.
Kwa mwaka unaofuata tena, atafanikiwa kuipunguza hiyo 29,100,000 Mil hadi 26,400,000 Mil na ndiyo ni kianzio cha deni lake kwa mwaka mpya uliofuata.
Sheria ya bodi itasema hapana, hii 26,400,000 lazima iwekwe 6% ya 30Mil ambaye ni 1.8
Hivyo 26,400,000+ 1.8 mil
Deni jipya kwa mwaka mpya uliofuata itakuwa ni 28,200,000Mil badala ya 26,400,000 and the list goes on.
Yaani utakuwa unakwenda mbele na kurudi nyuma mpaka unastaafu.
Sheria ya mwaka 2016, inazidi kusema kuwa, ikiwa muhusika mpaka anastaafu, hajafanikiwa kumaliza deni lake, basi pension yake itafidiwa.
Yaani, Ikiwa una pension ya 15 Mil , na deni lako lilibaki 20 Mil , Bodi itakula zote 15 Mil na itakudai 5 Mil na hiyo 5 mil itazidi kuongezeka kadiri miaka inavyokwenda mbele, ni hatari sana na mbaya zaidi watumishi wengi hawajui hii sheria.
Ikitokea pension yako imeliwa yote na bodi,maana yake unazeeka ukiwa huna kitu.
I just can't figure it out , ni sheria kandamizi dhidi ya mtoto maskini iliyopitishwa na wabunge wetu tukufu.
Ni kwamba mtoto wa maskini hatoweza kumaliza hili deni , ni deni la maisha hasa waliosoma makozi ya sayansi kama udaktari, Nesi, famasi , na injinia na wale waliosoma nje ya nchi.hawa wote madeni yao si chini ya 25Mil or so. It is a detrimental to these poor people, and Unfair.
Mapendekezo
1. Serikali ipitie upya hii sheria, na ifutilie mbali hiyo incremental ya 6% kwa kila mwaka, it is not even practical, watu wengi wanakufa na hayo madeni tena bado yakiwa makubwa mno.
2. Irudishwe asilimia 8% au 10% badala ya 15% ya makato ya bodi, kwa sababu watumishi wa umma ndiyo wanufaika na hii mikopo, na wengi wanaangamia hali zao malikiti sokoni.
3. Bodi ya Mikopo itoe elimu maredioni juu ya utaratibu wa urejeshwaji wa haya makato WaTZ wengi haijui kitu kuhusu mambo ya sheria.
4. Sheria ya kuchukua pension ya watumishi walioitumikia serikali hadi kustaafu itolewe kwa Sababu ni mateso makubwa yatakuwa kwa hawa watu na hii ni jamii yetu inayoitumikia serikali ya Jamhuri miaka nenda rudi.
Watumishi wa umma wengi wanastaafu wakiwa maskini na fukara, uwachukulie tena hizo pesa za pension, kweli ? Doh tutapata laana katika nchi.
USHAURI.
1. Kwa wazazi ambao wanajiweza, achaneni na mambo ya kuwasukumizia watoto wenu kwenye mikopo mpaka muelewe vyema sheria ya marekebisho, hiki ni kilema cha maisha kwa wale ambao deni lao ni above 20Mil.
2. Pia wahusika hakikisheni mnaipitia hii sheria na muelewe marejesho yake, you need to take precaution. Kama huelewi mtafute Mwanasheria akuelewesheni ni hatari sana fuatilieni haya mambo.
Rais JPM tunaomba ufanyie kazi hayo mapendekezo kwa heshima na taadhima .

*Wako Raia Mwema.*
Mwaka kesho wanaondoka na hizi sheria zao mbovu. Mikopo ya nini ya kukandamiza watoto wa wengine, nao yafaa warejeshe zile pesa walizowasomeshewa. Very hopeless indeed.
 
NAOMBA MODS,WAUNGANISHE NYUZI ZOTE ZINAZOHUSIANA NA MALALAMIKO YA BODI YA MIKOPO KISHA WAUFANYE UWE STRICKLY.

HILI SUALA NI ZITO NA PANA MNO KWA MASLAHI YA VIJANA WANYONGE WALIOANZA KUPIGANA NA KUJIKWAMUA KIMAISHA

BINAFSI,HATA MIMI NI MHANGA MKUBWA TU WA HILI SUALA...NGOJA NIKAE VIZURI HALAFU NAMIMI NIELEZE VITUKO NILIVYOVIKUTA KWA HAWA JAMAA THEY SO CALLED HELSB

N.B. (DAWA YA DENI NI KULIPA TU,LAKINI SIO KWA HUU UTARATIBU KANDAMIZI ULIOPO SASA)
Mkuu hizi habari za kusema utulie kwanza sjui ukae vizuri unazitoa wapi?? Huu uzi hauna cha kusubiri mwagika kila kitu hapa tunataka mambo yote yawekwe adharani kuhusu upupu wa hawa jamaa
 
Bodies imekuwa zaidi ya TRA inavyonyanyasa watu. Hivi MTU gani mwenyeakili timamu atajipeleka akakatwe kiasi cha kukomoana? Kuna watu has a walimu wamebakiwa na mshahara wa lakimoja kisa heslb. Wameshindwa kukata kidogo kidogo isiumize watu ili wajitokeze wengi au mpaka raisi ajisikie kuwaambia na kuwatumbua ndipo watagutuka?
Taasisi yoyote ya kitanzania chini ya serikali haipaswi kufanya maisha ya watu kuwa magumu
 
Uwepo wa bodi ya mikopo ni dalili tosha kwamba tumedhamiria kuwakandamiza watoto wa maskini kwa nguvu zote.

Pili bodi ya mikopo nafanya kazi kwa kubahatisha sana kiasi cha kuwavambikia hawa maskini madeni ambayo hata siyo yao kwa sababu wanajua kwa umaskini wao hawataweza kwenda mahakamani.

Tatu wafanyakazi wa bodi ya mikopo ni moja ya watumishi wenye lugha za hovyo sana utadhani tumewalazimisha ajira.


Ni bora tungekua tunakopa kwenye banks kuliko huu ujanja ujanja wa serikali wakagi pesa ni zetu .. sisi ndio tunaolipa kodi.


Mapendekezo
1. Serikali iangalie upya swala la marejesho isizidi 5%

2. Retention fee isizidi 1%

3. Bodi ya mikopo ijipange .. Isiumize wachache ambao wamejitolea kulipa kufikia malengo ya 80% ambao bodi imeshindwa kuwafikia.

4. Ili kuboresha urudishaji wa madeni basi kila anayeomba sharti awe na kitambulisjo cha taifa .

Tunatengeneza taifa maskini kwa mikono yetu.


Kuna nchi nyingi sana zinasomesha vyuo vikuu bure.. kwanini isiwe Tanzania.
Nimeona kiji-barua toka bodi ya mikopo wakijaribu kujieleza nini maana ya sheria ya mikopo kwa wanafunzi. Kwa ujumla kama hayo ndo maelezo toka kwa wataalamu wa bodi hiyo basi, tuseme tu kwamba tuna watu wasio na uwezo ndani ya taasisi za serikali. Kama kuna makosa au ugumu wa utekelezaji wa sheria mpya, bodi hii ndo ilistahili kutoa mapendekezo ya jinsi ya kuboresha sheria lakini, maelezo yao ni kama umemuuliza mtoto wa kindergarten.

Sihitaji kuwasaidia jinsi ya kuangalia matatizo yao, nionacho ni wizi na ufisadi wao wa siku zote wanaojaribu kuziba pengo la wizi wao. Waligawa pesa vyuoni hata pasipo na wanafunzi. Wakalipia wanafunzi hewa kwa makusudi. Sasa wanawaibia wakopaji wa kweli. Taasisi hii inahitaji watu makini ktk mfumo wa elimu na jamii na siyo kuweka muhasibu tena akitoka kwenye NGO ndogo kabisa, eti awasidie wakopaji wa nchi hii.
 
. Kwako *Dr.John Pombe Magufuli*

Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika maisha yao . Aidha, Asilimia 80 ya wanufaika wa mikopo ya bodi ni wale kina KAYUMBA Yaani watoto wa maskini.
Sheria ya mwaka 2016 ya bodi ya mikopo iliyofanyiwa marekebisho ni sheria *ANGAMIZI* kwa watoto maskini.
*Sheria imeweka wazi ( Watz wengi hawana tabia ya kujisomea) kuwa marejesho ya mkopo yatakuwa ni kwa 15%, na deni hilo litakuwa linaongezeka kila mwaka wa fedha kwa asilimia 6% ya deni halisi la mwanzo.*
Kwa mfano.
*Daktari ambae amesomeshwa na bodi, asilimia kubwa deni lao huwa kati ya mil 25 mpaka 30.*
Basic salary yake ni 1.5 Mil
Makato ya mshahara wake ni kama ifuatavyo
Helsb 225, 000 TSH
PAYE 295,090 TSH
NHIF 42,420 TSH
Pension. 80, 000
Total deduction 642, 510 TSH
take home yake ni 857,590 TSH —ana watoto na anasomesha!
-----------------------------
Kwa sheria ya bodi ya mikopo, huyu bwana kwa mwaka ataweza kulipa 2.7Mil ( 225,000X12)
Hivyo katika deni lake la 30Mil , atakuwa amepunguza deni lake hadi 27, 300,000TSH ikifika mwisho wa mwaka wa fedha.
Mtu huyu atapaswa kuanza mwaka wa fedha mpya akiwa na deni la 27, 300, 000 TSH.
Lakini sheria ya bodi inasema hapana, unatakiwa kuongezewa 6% ya 30 mil ambayo ni 1.8 Mil
Hivyo deni analopaswa kuanza nalo ni 27,300,000+ 1.8 Mil sawa na 29, 100, 000 TSH.
Kwa mwaka unaofuata tena, atafanikiwa kuipunguza hiyo 29,100,000 Mil hadi 26,400,000 Mil na ndiyo ni kianzio cha deni lake kwa mwaka mpya uliofuata.
Sheria ya bodi itasema hapana, hii 26,400,000 lazima iwekwe 6% ya 30Mil ambaye ni 1.8
Hivyo 26,400,000+ 1.8 mil
Deni jipya kwa mwaka mpya uliofuata itakuwa ni 28,200,000Mil badala ya 26,400,000 and the list goes on.
Yaani utakuwa unakwenda mbele na kurudi nyuma mpaka unastaafu.
Sheria ya mwaka 2016, inazidi kusema kuwa, ikiwa muhusika mpaka anastaafu, hajafanikiwa kumaliza deni lake, basi pension yake itafidiwa.
Yaani, Ikiwa una pension ya 15 Mil , na deni lako lilibaki 20 Mil , Bodi itakula zote 15 Mil na itakudai 5 Mil na hiyo 5 mil itazidi kuongezeka kadiri miaka inavyokwenda mbele, ni hatari sana na mbaya zaidi watumishi wengi hawajui hii sheria.
Ikitokea pension yako imeliwa yote na bodi,maana yake unazeeka ukiwa huna kitu.
I just can't figure it out , ni sheria kandamizi dhidi ya mtoto maskini iliyopitishwa na wabunge wetu tukufu.
Ni kwamba mtoto wa maskini hatoweza kumaliza hili deni , ni deni la maisha hasa waliosoma makozi ya sayansi kama udaktari, Nesi, famasi , na injinia na wale waliosoma nje ya nchi.hawa wote madeni yao si chini ya 25Mil or so. It is a detrimental to these poor people, and Unfair.
Mapendekezo
1. Serikali ipitie upya hii sheria, na ifutilie mbali hiyo incremental ya 6% kwa kila mwaka, it is not even practical, watu wengi wanakufa na hayo madeni tena bado yakiwa makubwa mno.
2. Irudishwe asilimia 8% au 10% badala ya 15% ya makato ya bodi, kwa sababu watumishi wa umma ndiyo wanufaika na hii mikopo, na wengi wanaangamia hali zao malikiti sokoni.
3. Bodi ya Mikopo itoe elimu maredioni juu ya utaratibu wa urejeshwaji wa haya makato WaTZ wengi haijui kitu kuhusu mambo ya sheria.
4. Sheria ya kuchukua pension ya watumishi walioitumikia serikali hadi kustaafu itolewe kwa Sababu ni mateso makubwa yatakuwa kwa hawa watu na hii ni jamii yetu inayoitumikia serikali ya Jamhuri miaka nenda rudi.
Watumishi wa umma wengi wanastaafu wakiwa maskini na fukara, uwachukulie tena hizo pesa za pension, kweli ? Doh tutapata laana katika nchi.
USHAURI.
1. Kwa wazazi ambao wanajiweza, achaneni na mambo ya kuwasukumizia watoto wenu kwenye mikopo mpaka muelewe vyema sheria ya marekebisho, hiki ni kilema cha maisha kwa wale ambao deni lao ni above 20Mil.
2. Pia wahusika hakikisheni mnaipitia hii sheria na muelewe marejesho yake, you need to take precaution. Kama huelewi mtafute Mwanasheria akuelewesheni ni hatari sana fuatilieni haya mambo.
Rais JPM tunaomba ufanyie kazi hayo mapendekezo kwa heshima na taadhima .

*Wako Raia Mwema.*
CC Mk54
 
Ukichukuwa deni la milioni 30, halafu kila mwaka ukawa unalipunguza kwa lakhi 4, maana yake ni kuwa utachukuwa tarikbani miaka 75 kulipa deni lote (30,000,000/400,000 = 75)! Na wakati huo utakuwa umetumia zaidi ya mil 100 kulipa milioni 30. Huu ni sawa na ujambazi ambao Bodi imehalalishwa kufanya. Ni ndoa ya kinyonyaji kabisa. Yaani ni sawa na kuapa kuwa utakufa na kuzikana na Bodi ya Mikopo!
Hesabu unajua wewe?
Miaka 75 inatoka wapi? Iyo 75÷12= Miaka 6 na miezi 3
Kama maesabu yanakushinda usingechukua mkopo
 
Utakuwa ngwini wewe. Unadaiwa 30,000,000 na kila mwaka unatoa 400,000 tu. Hata wakikukata vipi, bado deni linasogea palepale.... Hesabu zako zingekuwa na maan kama ungelikuwa unalipa lakh 4 kila mwezi. Hapa ni Lakh 4 kila mwaka. Ngwini mkubwa wewe...
Hesabu unajua wewe?
Miaka 75 inatoka wapi? Iyo 75÷12= Miaka 6 na miezi 3
Kama maesabu yanakushinda usingechukua mkopo
 
Utakuwa ngwini wewe. Unadaiwa 30,000,000 na kila mwaka unatoa 400,000 tu. Hata wakikukata vipi, bado deni linasogea palepale.... Hesabu zako zingekuwa na maan kama ungelikuwa unalipa lakh 4 kila mwezi. Hapa ni Lakh 4 kila mwaka. Ngwini mkubwa wewe...
Hayo maesabu unajipangia wewe unapeleka laki 4. Kama unaenda kulipia Kodi ya nyumba. Ndio maaana wamewatageti watu wanaopata mshahara wanakata kwa asilimia. Na mikopo waliopata ni watu wa degree ambao mshahara wao unaanzia 750,000 na kuendelea na kama ni asilimia 15 wanakata kwa mshahara ujue ni 1,350,000/- kwa mwaka apo na ujue mshahara kila baada ya miaka 2 mshahara unapanda ivi vitu vinahesabika, sema watu wengi wanaingiza kwy mkopo Mambo ambayo ukuwa nayo wakati wa mkopo. Mfano umu vyuoni wakati unapata mkopo unajiingiza kwy matumizi yasiyoendana na mkopo uliosainiwa kama kusomesha wadogo zako, kwenda kutafutia mademu, kuolea na kuongea mpaka unamaliza chuo unajikuta una mke na watoto 2 unaanza kazi tayari una wategemezi kitu ambacho mkataba wa mkopo hautambui wategemezi hao, mkopo unakutambua wewe na mzazi aliyekuwa referees wako. Tujifunze kuishi kwa bajeti sio kulalamika tuuuu.
 
Hi
. Kwako *Dr.John Pombe Magufuli*

Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika maisha yao . Aidha, Asilimia 80 ya wanufaika wa mikopo ya bodi ni wale kina KAYUMBA Yaani watoto wa maskini.
Sheria ya mwaka 2016 ya bodi ya mikopo iliyofanyiwa marekebisho ni sheria *ANGAMIZI* kwa watoto maskini.
*Sheria imeweka wazi ( Watz wengi hawana tabia ya kujisomea) kuwa marejesho ya mkopo yatakuwa ni kwa 15%, na deni hilo litakuwa linaongezeka kila mwaka wa fedha kwa asilimia 6% ya deni halisi la mwanzo.*
Kwa mfano.
*Daktari ambae amesomeshwa na bodi, asilimia kubwa deni lao huwa kati ya mil 25 mpaka 30.*
Basic salary yake ni 1.5 Mil
Makato ya mshahara wake ni kama ifuatavyo
Helsb 225, 000 TSH
PAYE 295,090 TSH
NHIF 42,420 TSH
Pension. 80, 000
Total deduction 642, 510 TSH
take home yake ni 857,590 TSH —ana watoto na anasomesha!
-----------------------------
Kwa sheria ya bodi ya mikopo, huyu bwana kwa mwaka ataweza kulipa 2.7Mil ( 225,000X12)
Hivyo katika deni lake la 30Mil , atakuwa amepunguza deni lake hadi 27, 300,000TSH ikifika mwisho wa mwaka wa fedha.
Mtu huyu atapaswa kuanza mwaka wa fedha mpya akiwa na deni la 27, 300, 000 TSH.
Lakini sheria ya bodi inasema hapana, unatakiwa kuongezewa 6% ya 30 mil ambayo ni 1.8 Mil
Hivyo deni analopaswa kuanza nalo ni 27,300,000+ 1.8 Mil sawa na 29, 100, 000 TSH.
Kwa mwaka unaofuata tena, atafanikiwa kuipunguza hiyo 29,100,000 Mil hadi 26,400,000 Mil na ndiyo ni kianzio cha deni lake kwa mwaka mpya uliofuata.
Sheria ya bodi itasema hapana, hii 26,400,000 lazima iwekwe 6% ya 30Mil ambaye ni 1.8
Hivyo 26,400,000+ 1.8 mil
Deni jipya kwa mwaka mpya uliofuata itakuwa ni 28,200,000Mil badala ya 26,400,000 and the list goes on.
Yaani utakuwa unakwenda mbele na kurudi nyuma mpaka unastaafu.
Sheria ya mwaka 2016, inazidi kusema kuwa, ikiwa muhusika mpaka anastaafu, hajafanikiwa kumaliza deni lake, basi pension yake itafidiwa.
Yaani, Ikiwa una pension ya 15 Mil , na deni lako lilibaki 20 Mil , Bodi itakula zote 15 Mil na itakudai 5 Mil na hiyo 5 mil itazidi kuongezeka kadiri miaka inavyokwenda mbele, ni hatari sana na mbaya zaidi watumishi wengi hawajui hii sheria.
Ikitokea pension yako imeliwa yote na bodi,maana yake unazeeka ukiwa huna kitu.
I just can't figure it out , ni sheria kandamizi dhidi ya mtoto maskini iliyopitishwa na wabunge wetu tukufu.
Ni kwamba mtoto wa maskini hatoweza kumaliza hili deni , ni deni la maisha hasa waliosoma makozi ya sayansi kama udaktari, Nesi, famasi , na injinia na wale waliosoma nje ya nchi.hawa wote madeni yao si chini ya 25Mil or so. It is a detrimental to these poor people, and Unfair.
Mapendekezo
1. Serikali ipitie upya hii sheria, na ifutilie mbali hiyo incremental ya 6% kwa kila mwaka, it is not even practical, watu wengi wanakufa na hayo madeni tena bado yakiwa makubwa mno.
2. Irudishwe asilimia 8% au 10% badala ya 15% ya makato ya bodi, kwa sababu watumishi wa umma ndiyo wanufaika na hii mikopo, na wengi wanaangamia hali zao malikiti sokoni.
3. Bodi ya Mikopo itoe elimu maredioni juu ya utaratibu wa urejeshwaji wa haya makato WaTZ wengi haijui kitu kuhusu mambo ya sheria.
4. Sheria ya kuchukua pension ya watumishi walioitumikia serikali hadi kustaafu itolewe kwa Sababu ni mateso makubwa yatakuwa kwa hawa watu na hii ni jamii yetu inayoitumikia serikali ya Jamhuri miaka nenda rudi.
Watumishi wa umma wengi wanastaafu wakiwa maskini na fukara, uwachukulie tena hizo pesa za pension, kweli ? Doh tutapata laana katika nchi.
USHAURI.
1. Kwa wazazi ambao wanajiweza, achaneni na mambo ya kuwasukumizia watoto wenu kwenye mikopo mpaka muelewe vyema sheria ya marekebisho, hiki ni kilema cha maisha kwa wale ambao deni lao ni above 20Mil.
2. Pia wahusika hakikisheni mnaipitia hii sheria na muelewe marejesho yake, you need to take precaution. Kama huelewi mtafute Mwanasheria akuelewesheni ni hatari sana fuatilieni haya mambo.
Rais JPM tunaomba ufanyie kazi hayo mapendekezo kwa heshima na taadhima .

*Wako Raia Mwema.*
Hivi rais wa wanyonge anasomaga uzi mzuri kama huu,bodi ya mikopo ni kirusi kinachowatafunna watoto wa maskin,na mbaya zaid hali si shwali kwa waliosoma sayansi,ukiangalia salary slip zao utasikitika,utakuta mtu anadaiwa mpaka milion 30,ikute una penalty hadi milion 40,na makato hayako fixed.
 
Bodi ya mikopo ni majizi kama sio jipu jingine tanzania, wameanza kukata wafanyakazi wenye diploma wakati sio wanufaika wa bodi hiyo.
 
Uwepo wa bodi ya mikopo ni dalili tosha kwamba tumedhamiria kuwakandamiza watoto wa maskini kwa nguvu zote.

Pili bodi ya mikopo nafanya kazi kwa kubahatisha sana kiasi cha kuwavambikia hawa maskini madeni ambayo hata siyo yao kwa sababu wanajua kwa umaskini wao hawataweza kwenda mahakamani.

Tatu wafanyakazi wa bodi ya mikopo ni moja ya watumishi wenye lugha za hovyo sana utadhani tumewalazimisha ajira.


Ni bora tungekua tunakopa kwenye banks kuliko huu ujanja ujanja wa serikali wakagi pesa ni zetu .. sisi ndio tunaolipa kodi.


Mapendekezo
1. Serikali iangalie upya swala la marejesho isizidi 5%

2. Retention fee isizidi 1%

3. Bodi ya mikopo ijipange .. Isiumize wachache ambao wamejitolea kulipa kufikia malengo ya 80% ambao bodi imeshindwa kuwafikia.

4. Ili kuboresha urudishaji wa madeni basi kila anayeomba sharti awe na kitambulisjo cha taifa .

Tunatengeneza taifa maskini kwa mikono yetu.


Kuna nchi nyingi sana zinasomesha vyuo vikuu bure.. kwanini isiwe Tanzania.
Kusomesha chuo kikuu bure utakua unaota
 
Mkuu wewe ndo mburula sasa ona umepata aibu ya hovyo hesabu ndogo kama hiyo imekushinda,,,

Siku nyingine kabla hujatoa povu tafakari "When you are dead you don't know you are dead,it is only painful for others.The same applies when your stupid"
Hesabu unajua wewe?
Miaka 75 inatoka wapi? Iyo 75÷12= Miaka 6 na miezi 3
Kama maesabu yanakushinda usingechukua mkopo
 
Kuna kampuni niliwahi kufanya kazi,wakawa wananikata huo mkopo lakini walikuwa hawapeleki huko bodi for almost two years. Nimekuja kwenda kuangalia balance,duuh nimekuta deni limepanda from 4mil to 10 mil.nimebaki sijui naanzia wap ila risit zangu zote(salary slips) kwa muda huo wote niliokatwa ninazo.kibaya hiyo kampuni ni kama imekufa,hivyo sina wa kumfuata.Lakini najiuliza,kama bodi ilimpa mandatory hiyo kampuni inikate na iwapelekee na hawakupeleka japo wamenikata,ni nani anapaswa kuwajibika?kwa nini waendelee kunidai Mimi?
 
Natamani rais aitishe mkutano Wa wanachuo watoe dukuduku lao kama walivyofanya wafanyabiashara
Imagine mwanafunzi kabaliza karudi mtaa, na bodi inadai interest kila mwaka na huyu mtu hana kazi. Bodi haioni kama inamtwisha mzigo asioweza kuubeba?
 
Back
Top Bottom