Kumbe msaada bado upo . Mi nilidhani tumenyimwa kabisaaaa. Wanachotaka wao ni sisi kurekebisha kasoro fulani fulani kisha watautoa. Nadhani wataweka bank kifaida kwa muda kwa ajili yetu hadi tumalize hizo kasoro. Kwa hiyo wanaopata msaada huo sasa itakula kwao. Sisi fungu letu litawekwa bank kifaida hadi hapo tutakapomaliza hizo kasoro. Siunajua tena kinachokaa bank kwa muda huzalisha. Siku wakaianza kutukumbukatutapata na faidha yake toka bank. Patamu hapo! Ndiyo maana waswahili husemaharaka haraka ya kupata misaada sasa haina baraka. Wanaopata sasa itakua kwao.
Acha kupotosha sio watautoa no! Watalipitia tena faili letu lisipokidhi vigezo tunapigwa chini tu..