Ukiangalia kwa umakini hakuna anayepinga tusijitegemee, tatizo ni basis and basics za kujitegemea hatukuwa nazo tangia enzi za Mwinyi, Nyerere alijitahidi kuweka misingi mizuri sana ambayo ilikosa watu makini kuiendeleza. Na kama unakumbuka vizuri ilifikia hatua hawa watawala wa sasa kwa kukosa ubunifu walifikia hatua ya kututangazia kabisaa kwenye media kwamba nchi yetu bila misaada haiwezi kusonga mbele. Sasa kama unaviongozi wenye maono kama hayo unategemea tutapiga hatua ipi?
Hali hii inayotokoa sasa inapaswa iwe chachu ya kutufanya tuandae strategies za kujitegemea, hatuwezi jitegemea ghafla tuu inahitaji process na kuwa na team ambayo ni commited haswaaa, vile vile hali ya uchumi irejeshwe kwa wazawa na uwezeshaji uwe wa kiwangu cha kuridhisha. Wazawa tunapaswa tuumiliki uchumi wetu tofauti na sasa, kiufupi uchumi wetu upo katika hali mbaya mnoo. Tunahitaji muda mpAka kufikia hatua ya kukataa misaada.
Nadhani tujipange kwa pamoja tutafika tuu pale tunapopataka.