Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

Nijuavyo hakuna Tanzania bila Zanzibari. Tanzania= Tanganyika+Zanzibari msaada wa MCC ni wa Tanzania. Sasa YEHODAYA hoja zako naona kama zinakinzana.
 
Last edited by a moderator:
Kama tulipewa huo msaada kipindi kile, tumeshindwaje kutimiza masharti yale? Kama haturidhiki nayo tuachane na tusilalamike. Mtaka cha uvunguni shariti ainame!
 
Madai ya wazungu/wakoloni ni ya msingi (issue ya ZNZ na watuhumiwa wa makosa ya mitandao), lakini mi nasema walale mbele. uwezo wa kijitegemea tunao. Jana JPM alitangaza kwamba TRA wamekusanya Trill 1.3 kwa mwezi wa dec ambao bado hajaisha wote. Trill 1.3 X 12 months = Trill 15.6 kwa mwaka. Japo bedget ya mwaka 2014/2015 ilikua over Trill 20; naamini kwa strategy ya kupunguza spending, Trill 15.6 itafanya mambo mengi hata bila kutegemea hawa maf**la - western imperialist.
 
Kama tunaishi Kwa kutegemea misaada basi tutegemee na masharti. Hutaki kusanya kodi ya kutosha jitegemee.
 
Nafikiri ni vizuri pia kuondoa misamaha yote ya kodi toka kwa wawekezaji wa kutoka nchi za nje sababu sehemu ya faida wanazopata kwa uwekezaji wao Tanzania ndizo huzitumia kutupa misaada.Ajabu sisi tunapowapa nafasi ya uwekezaji nchini kwetu huwa hatuwapi masharti ya kisiasa lakini wao wakishavuna pesa kutoa msaada kidogo toka faida wanayopata wanatupa masharti kibao ya kisiasa.

Bill Gates anauza makomputa na masoftware kibao Tanzania.Anatengeneza pesa nyingi mno na makampuni mengi ya marekani yamewekeza Tanzania bila kupewa masharti ya Kisiasa na watanzania.

Wema wetu ndio wanatulipa kwa kutuingilia mambo ya siasa.

Wawekezaji hawana huruma kwetu naomba serikali iliyopo tufanye biashara nao tu.Wakitaka vitalu vya gesi au madini au ardhi kwanza walipe pesa za kununua na kufidia halafu watoe hisa kwa wenye wenye maeneo zisizopungua 40% wakikataa watuachia vitalu,madini na ardhi yetu.Tuanze kuwa wakali na sisi na kile tulichonacho kama wao wanavyokuwa wakali kwetu kwa vile walivyonavyo.

pole sana ,,mikataba ya miaka 55 ilishasainiwa ukivunja unalipa garama zote na kesi ni kwao sio mahakama zenu za upendeleo,,,viongozi wetu wametufikisha hapo
 
Mi naona hawa huwa wana sababu zao za kutotoa msaada. Siwezi amini eti hiyo ndo sababu. Kwani wao sera zao za mambo ya nje zina hata chembe ya demokrasia?

Achana nao hao. Walimkumbatia mobutu na kumuona Gaddafi mshenzi
 
Shirika la millennium challenge la Marekani hatimae wamekataa kuipa Tanzania fedha za kujikimu kimaendelea. Zaid fuatilia katika website yao Eligible Countries The Board met on December 16, 2015, to select countries that will be eligible for assistance under section 607 of the Act (22 U.S.C. 7706) for FY 2016. The Board selected the following countries as eligible for such assistance for FY 2016: Cote d?Ivoire, Kosovo, and Senegal. The Board also reselected the following countries as eligible for FY 2016 compact assistance: Niger, Nepal, and the Philippines. The Board did not vote on the re-selection of Tanzania and Lesotho. The Board also reaffirmed its support for Mongolia?s continued effort to develop its compact proposal that will access funds appropriated to MCC when Mongolia was a candidate country.
Akutukunae hakuchagulii tusi, hivi tokea lini Zanzibar ikawa ina meno ya kuin'gata Tanganyika? Meno ya wazanzibari yalin'golewa bila ganzi tarehe 26 April 1964. Sasa hivi Tanganyika inatulazimisha kutuchagulia kiongozi wa kutuongoza. Ulimwengu umeona na kukisikia kilio cha wazanzibari kwa kutumia sanduku la kura, lakini CCM bara inalazimisha itakavyo. Kuleni jeuri yenu, na hamna mamlaka ya kuwapangia Donors jinsi ya kutumia pesa zao.
 
Hii ndiyo statement ya The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors!

For Immediate Release
December 17, 2015

Renee Kelly
202-521-3880

The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors held its quarterly meeting on Dec. 16, 2015. The Board approved three countries as eligible for compacts and two countries as eligible for threshold programs. Three of the five countries are new partners for MCC and all have worked hard to improve their performance on MCC?s scorecard, which measures countries? commitment to ruling justly, economic freedom, and investing in their people.

The Board selected Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal as newly eligible for compacts. Cote d?Ivoire, which was selected in December 2014 for a threshold program, will now transition into the compact program after showing continued improvement on its scorecard and achieving greater political stability. Kosovo, which passed MCC?s scorecard for the first time after making progress on democratic rights, is a new partner for MCC. Senegal successfully completed its first MCC compact in September and demonstrated improved scorecard performance over the life of the partnership.

In both Senegal and Cote d?Ivoire, the Board recommended that MCC explore potential investments that address regional obstacles to economic growth, in addition to domestic investments, while recognizing the need for statutory authority to optimize regional impact.

The Board also selected Togo and Sri Lanka to develop MCC threshold programs. Togo has shown a clear upward trajectory on overall scorecard performance over the past few years. Sri Lanka has embarked on a remarkable effort over the past year to reinvigorate its democratic institutions, improve governance, and restore protection of human rights.

Nepal, Niger and the Philippines were reselected by the Board to continue developing their compacts. The Board reselects all countries in compact development as part of the annual selection process. The Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.

Finally, the Board reaffirmed its commitment to developing a compact with Mongolia and its support for a strategic partnership with India to advance economic growth and poverty reduction in South Asia.

Wazungu hawana shida. Magufuli abadilike awe kama mobutu utaona watakavyomuona wa maana
 
Nchi zote duniani huheshimiana mipaka na kutoingiliana mambo ya ndani.Nchi zote duniani huwa na mahusiano katika mambo kadhaa wanayokubaliana.Nje ya yale wasiyokubaliana huwa hakuna mahusiano.

Tanzania bara na Zanzibar tuna mahusiano kati baadhi ya mambo ambayo yako katika katiba.Katika mambo hayo ya uhusiano swala la uchaguzio wa Zanzibar si la muungano na halimhusu raisi wa muungano sababu raisi wa muungano kazi yake ni kushughulikia mambo yale tu ya muungano na si yale yasiyo ya kimuungano.

Raisi wa Tanzania haiwezi ingilia mambo ya nchi yoyote ile iwe marekani au Zanzibar.

Bill Gate na MCC na wafadhili wote na watoa misaada hilo walielewe na wasichanganye mambo na kutupa masharti ya eti raisi atatue matatizo ya uchaguzi zanzibar si sahihi.Zanzibar ni nchi huru kama marekani.Hivi bunge la marekani laweza sema hatupitishi bajeti ya marekani hadi marekani itatue tatizo la zanzibar?

Mambo ya Zanzibar ni kama ya burundi nk ambapo kinachotakiwa ni kuomba ikiwezekana Raisi wa Muungano au hata wa burundi asaidie kumaliza mgogoro zanzibar.

Hili la kushinikizana si haki.Na wamarekani na jumuiya ya kimataifa ni vizuri wakawajua CUF vizuri kama hawawajui shauri yao.Kitendo cha MCC kutishia kutoipa misaada Tanzania Sijakipenda nadhani wana mshauri mbaya sana tena sana asiyesoma katiba ya Tanzania wala kujua uhusiano uliopo kati ya Raisi wa Muungano wa Tanzania Na Zanzibar.

Zanzibar ni nchi huru kama ambavyo akina Seif Sharif Hamad wanavyobwata Sasa zigo hilo linalowahusu nchi yao walimalize wenyewe kwa nini waitumbukize kwa Raisi wa Jamhuri ya muungano ambaye halimhusu na kufitini kwa wafadhili nchi ikose misaada?

Tunaomba wafadhili na watoa misaada msituonee kama ambavyo sisi hatuwaonei wawekezaji wenu toka nchi zenu.

Mwambie JECHA afute maamuzi ya MCC maana ana ubavu sana huyo. Awaambie MCC warudie maamuzi yao upya.
 
wahiataji na wenye democrasia ya kweli ni wengi,,,iweje wasimamizi waseme sawa wewe useme no wakati form za sawa ulishasaini,,,mnyimwe mshindwe kuendesha hata idara,,,nawaonea tu huruma masjini vijijini maana miradi mingi pamoja na umeme vitasimama
 
Suala la Zanzibar ni muhimu kutatuliwa, hiyo misaada wakae nayo tu maana wanatudhalilisha.
Tutatue matatizo yetu kwasababu tuna wajibika kufanya hivyo na si sababu ya vitisho vya hao watoa misaada
 
Press Release
MCC Board Selects Five Countries for MCC Partnerships

New Compacts with Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal, and New Threshold Programs with Sri Lanka and Togo

For Immediate Release
December 17, 2015

Renee Kelly
202-521-3880

WASHINGTON, D.C., Dec. 17 ? The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors held its quarterly meeting on Dec. 16, 2015. The Board approved three countries as eligible for compacts and two countries as eligible for threshold programs. Three of the five countries are new partners for MCC and all have worked hard to improve their performance on MCC?s scorecard, which measures countries? commitment to ruling justly, economic freedom, and investing in their people.

The Board selected Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal as newly eligible for compacts. Cote d?Ivoire, which was selected in December 2014 for a threshold program, will now transition into the compact program after showing continued improvement on its scorecard and achieving greater political stability. Kosovo, which passed MCC?s scorecard for the first time after making progress on democratic rights, is a new partner for MCC. Senegal successfully completed its first MCC compact in September and demonstrated improved scorecard performance over the life of the partnership.

In both Senegal and Cote d?Ivoire, the Board recommended that MCC explore potential investments that address regional obstacles to economic growth, in addition to domestic investments, while recognizing the need for statutory authority to optimize regional impact.

The Board also selected Togo and Sri Lanka to develop MCC threshold programs. Togo has shown a clear upward trajectory on overall scorecard performance over the past few years. Sri Lanka has embarked on a remarkable effort over the past year to reinvigorate its democratic institutions, improve governance, and restore protection of human rights.

Nepal, Niger and the Philippines were reselected by the Board to continue developing their compacts. The Board reselects all countries in compact development as part of the annual selection process. The Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.

Finally, the Board reaffirmed its commitment to developing a compact with Mongolia and its support for a strategic partnership with India to advance economic growth and poverty reduction in South Asia.

###



The Millennium Challenge Corporation is an innovative and independent U.S. Government agency working to reduce global poverty through economic growth. Created by the U.S. Congress in January 2004, with strong bipartisan support, MCC provides time-limited grants and assistance to countries that demonstrate a commitment to good governance, investments in people and economic freedom. Learn more about MCC at www.mcc.gov.
 
pole sana ,,mikataba ya miaka 55 ilishasainiwa ukivunja unalipa garama zote na kesi ni kwao sio mahakama zenu za upendeleo,,,viongozi wetu wametufikisha hapo

Pamoja na kuwa hujaweka ushahidi ila niseme mikataba haiishi bado kuna vingi tu watakuja.Tanzania panaitwa Mtakuja.Wakija watatukuta.Mikataba yote itakayoingiwa iwe ni ya kibiashara hasa tusiangaliane usoni.

Ndiyo maana CHINA imeanza kuiteka Afrika sababu misaada yao haina masharti ya kisiasa kama ya Ulaya na Marekani.Huko tuendako China inaweza kuwa ndio mwekezaji mkubwa na rafiki mkubwa wa Afrika.

Ulaya na Marekani tutawaacha wajikalie wenyewe na siasa zao kwenye mahusiano
 
Hahaaa ukimsoma mtoa mada anahoja chokonozi, anatambua ukweli wake hivyo kuishauri serikali ilitolee maamuzi suala la Zanzibar, ukweli upo wazi Uchaguzi wa Zanzibarvhauna mahisiano na wa bara hata Jaji mstaafu Lubuva wa NEC alilieleza ndo maana huku bara haukubatilishwa. Ila ninachoona US wanatumia mwanya huo kutoa adhabu maana ukweli wote wa kilichotokea Zanzibar wanajua si walikuwa na waangalizi na report za awali walishatoa za mwenendo wake? Hii ni kombolela.

Ila naunga mkono hoja ya misaada kusitishwa, hii itatupa moyo wa kujituma tujitegemee, huu utegemezi wa kila kitu ni ujinga na nchi kuwa zezeta, kama ni mikopo ya kimaslahi na iweze kulipika ni sawa na si misaada yenye masharti ya kiajabu na kutudhalilisha. Naomba wakaze uzi isitolewe na huku JPM akikaza buti makusanyo na mwisho tujitegemee navkutoa misaada kwingine!
 
Nchi zote duniani huheshimiana mipaka na kutoingiliana mambo ya ndani.Nchi zote duniani huwa na mahusiano katika mambo kadhaa wanayokubaliana.Nje ya yale wasiyokubaliana huwa hakuna mahusiano.

Tanzania bara na Zanzibar tuna mahusiano kati baadhi ya mambo ambayo yako katika katiba.Katika mambo hayo ya uhusiano swala la uchaguzio wa Zanzibar si la muungano na halimhusu raisi wa muungano sababu raisi wa muungano kazi yake ni kushughulikia mambo yale tu ya muungano na si yale yasiyo ya kimuungano.

Raisi wa Tanzania haiwezi ingilia mambo ya nchi yoyote ile iwe marekani au Zanzibar.

Bill Gate na MCC na wafadhili wote na watoa misaada hilo walielewe na wasichanganye mambo na kutupa masharti ya eti raisi atatue matatizo ya uchaguzi zanzibar si sahihi.Zanzibar ni nchi huru kama marekani.Hivi bunge la marekani laweza sema hatupitishi bajeti ya marekani hadi marekani itatue tatizo la zanzibar?

Mambo ya Zanzibar ni kama ya burundi nk ambapo kinachotakiwa ni kuomba ikiwezekana Raisi wa Muungano au hata wa burundi asaidie kumaliza mgogoro zanzibar.

Hili la kushinikizana si haki.Na wamarekani na jumuiya ya kimataifa ni vizuri wakawajua CUF vizuri kama hawawajui shauri yao.Kitendo cha MCC kutishia kutoipa misaada Tanzania Sijakipenda nadhani wana mshauri mbaya sana tena sana asiyesoma katiba ya Tanzania wala kujua uhusiano uliopo kati ya Raisi wa Muungano wa Tanzania Na Zanzibar.

Zanzibar ni nchi huru kama ambavyo akina Seif Sharif Hamad wanavyobwata Sasa zigo hilo linalowahusu nchi yao walimalize wenyewe kwa nini waitumbukize kwa Raisi wa Jamhuri ya muungano ambaye halimhusu na kufitini kwa wafadhili nchi ikose misaada?

Tunaomba wafadhili na watoa misaada msituonee kama ambavyo sisi hatuwaonei wawekezaji wenu toka nchi zenu.




Mbona anapeleka majeshi zenj? Au huko si kuingilia mambo yao? Magufuli asiwe ni chanzo cha machafuko kwa kisingizio cha kuibeba ccm. Ccm wameshindwa uchaguzi zanzibar na waondoke madarakani
 
Hii sio ishara nzuri wakati huu ambao bado tunahitaji misaada yao, halafu kama swala ni kuhusu zanzibar si litatuliwe, tunahitaji kuona kas ya rais katika hili pia
 
Hiyo ni salaamu ya MCC kwenu CCM acheni kubaka demokrasia. Mpeni seif na CUF haki yao ya kuunda serikali.
 
Back
Top Bottom