Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

Duh, madhara ya kuwa tegemezi ndo haya,tangu tuikwepe siasa ya ujamaa na kujitegemea hali umekuwa ya kuwapa wakubwa gold nakusbiri misaada


Siyo madhara ya kuwa tegemezi. Ni muendelezo wa athari za serikali kwa udictator na uvunjaji wa haki za binadamu, uuaji wa democrasia na sasa ongezeko la huduma mbovu kwa wananchi. Kisa urafi wa madaraka wa ccm.
 
Hili ndo wazo mbadal Mkuu, suala linakuja namna ya kujinusuru naye, nchi yetu haina uwezo kamwe wa kupambana na Mmarekani mkuu kwa kila kitu, hawa jamaa washakita mizizi sana na wanajua yote tunayoyafanya, kila hatua tunayopiga wapo nyuma tuu.

Nchi kama China na Russia wanajaribu kujinusuru naye kwa miaka mingi sana lakini bado wanaye tuu kiunoni, Ni matumaini yangu unajua yanayotokea kule North Korea, wale wanampaka viwanda vyao lakini bado ni tatizo tuu, Je itakuwa siye tusiokuwa hata na uwezo wa kutengeneza tooth pick.

Wazo lako la kujinusuru nao ni mipango ya muda mrefu sana tena sana, na hapo inabidi tujivike uendawazimu haswaaa tufanye kazi zaidi na zaidi.
Kama iran
 
Ingia kwenye website yao MCC utaona jinsi wanavyofanya kazi na pia nchi ngapi wanazifadhiri.

Moja ya maelezo yao ni:-

What is distinctive about MCC?

MCC is a prime example of smart U.S. Government assistance in action, benefiting both developing countries and U.S. taxpayers through:

Competitive selection: Before a country can become eligible to receive assistance, MCC?s Board examines its performance on independent and transparent policy indicators and selects compact-eligible countries based on policy performance.
Country-led solutions: MCC requires selected countries to identify their priorities for achieving sustainable economic growth and poverty reduction. Countries develop their MCC proposals in broad consultation within their society. MCC teams then work in close partnership to help countries refine a program.
Country-led implementation: MCC administers the Millennium Challenge Account (MCA). When a country is awarded a compact, it sets up its own local MCA accountable entity to manage and oversee all aspects of implementation. Monitoring of funds is rigorous and transparent, often through independent fiscal agents.
MCC forms partnerships with some of the world?s poorest countries, but only those committed to:

good governance,
economic freedom,
and investments in their citizens.
MCC provides these well-performing countries with large-scale grants to fund country-led solutions for reducing poverty through sustainable economic growth. MCC grants complement other U.S. and international development programs. There are two primary types of MCC grants: compacts and threshold programs.

Compacts are large, five-year grants for countries that pass MCC?s eligibility criteria.
Threshold Programs are smaller grants awarded to countries that come close to passing these criteria and are firmly committed to improving their policy performance.



Hivyo tuache kujidanganya kuwa Tanzania tunaweza kujitegemea, bado ni hatua kubwa sana ipo mbele yetu, huenda kizazi chetu kitapita na watotot wetu kizazi chao kitapita. Tusitegemee karne hii hizo ndoto wanazoota watu humu JF ambao wamemezwa na mambo ya kiitikadi kuwa tunaweza.

Mkuu Hebu jikwamue kimawazo na fikra tegemezi. Inawezekana kabisa kujitegemea. Tuna kila lasirimali za kujikwamua kutoka tulipo. Kutembeza bakuli siyo deal! Tufa ye kazi tutende haki, tufanye kazi ki halali nothing is impossible
 
Inawezekana sana mkuu wangu Paradigm kwa maana hili swala si geni hata kidogo maskioni mwangu. Walishatupaga taarifa ila viongozi wetu wakajitetea bila kuchukua tahadhari stahiki, yaani viongozi walituaminisha watanzania kwamba suala la Zanzibar litashughulikiwa kabla ya hicho kikao cha jana na pia masuala ya wale jamaa wa ukawa waliokamatwawakati wa kampeni. MCC hawakuwa na kigezo kingine cha kutunyima huo msaada ila ni hayo tu mkuu. BORA KUZIBA UFA KULIKO KUJENGA UKUTA. Huu msaada ungemsaidia sana JPM na ahadi zake.

Rais wetu JP Magufuli ameshaanza kutekeleza ahadi kwa oesa za ndani sasa sijui unasemaje kuhusu hilo!
We endeleza fikra zako tegemezi. Suala la Zanzibar linashughulikiwa kwa taratibu na sheria siyo kwa kuzima moto. #hapa kazi tu.
 
Habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.

Wewe utakuwa ni wale wale wa jinsia moja! MSAAADA wa nini ! wacha ukimeo UKAWA mkubwa wee!
 
Ni kweli mkuu!

Hatua ya kwanza tuwashukuru wazungu kutunyima pesa yao.

Pia tumshukuru Mungu kutupatia raisi asiye chekea wakwepa kodi na wala rushwa na wazembe.

Tukatae roho ya utegemezi na kutokujiamini. Tunaweza x 1,000,000,000 kujitegemea na kuendelea kama taifa bila kutegemea wazungu!

TUJIANDAE PIA KUCONSUME MALIGHAFI ZETU ZOTE IKIWEMO DHAHABU, KAHAWA, PAMBA, MWANI, ALMASI ZETU TUNAZOZALISHA KWANI SOKO LIKO KWAO, RAHA SANA MIDHAHABU NA MIALMASI TUTACONSUME WENYEWE, TUACHANAE NA MASOKO YA ULAYA, O/w BekaNurdin UMETIKISA MASIKIO, HUJUI ULISEMALO, MATAIFA IFA MAKUBWA NI KAMA MAJI USIPO YANYWA UTAYAOGA
 
Ni kweli mkuu!

Hatua ya kwanza tuwashukuru wazungu kutunyima pesa yao.

Pia tumshukuru Mungu kutupatia raisi asiye chekea wakwepa kodi na wala rushwa na wazembe.

Tukatae roho ya utegemezi na kutokujiamini. Tunaweza x 1,000,000,000 kujitegemea na kuendelea kama taifa bila kutegemea wazungu!
Hiyo bold, je ni sustainable? Je watoto wetu watakuwa na Magufuli for another 100 years? Kama sio basi kuombaomba hakutaisha.
 
Rais wetu JP Magufuli ameshaanza kutekeleza ahadi kwa oesa za ndani sasa sijui unasemaje kuhusu hilo!
We endeleza fikra zako tegemezi. Suala la Zanzibar linashughulikiwa kwa taratibu na sheria siyo kwa kuzima moto. #hapa kazi tu.

mhhhh ...hayo ndio yametufukisha hapa tulipo hatupo kama team tumekaa kishabiki tuuuuuuuu
 
msiwe malimbikeni wa maneno hela za miradi zinasaidia sana vijijini na halmashauri,,unafikiri serikali ndo inachimba visima umme,,,vijijini,,,ukitaka kujua angalia magari mengi ni DFP,,fuatilieni mtaelewa.....hapa tumekosa mengi sana..isitosheround hi zingenyakazi nzuri sana man za nyuma zilikuazinaliwa sana,pole maskini
 
Mkuu Hebu jikwamue kimawazo na fikra tegemezi. Inawezekana kabisa kujitegemea. Tuna kila lasirimali za kujikwamua kutoka tulipo. Kutembeza bakuli siyo deal! Tufa ye kazi tutende haki, tufanye kazi ki halali nothing is impossible


Ndio maana nimesema kuwa ni mapema mno kuliko tunavyofikiria. Suala la nchi kujitegemea kiuchumi si jambo la kuamua siku moja au miaka mitano. Ni safari ndefu kuliko kwa mtu binafsi kuamua kujitegemea.

Unapoona barabara zinajengwa kwa kiwango cha lami, baadhi ya madawa na vifaa tiba tunayoona katika mahospitali yetu, pamoja na miradi mbalimbali inayoendelea ni misaada ya wahisani toka nje na usidhani ni pesa ya serikali.

Haya maneno tunayoongea hapa JF, kwa watu wenye kuelewa wanatushangaa sana.
 
Rais wetu JP Magufuli ameshaanza kutekeleza ahadi kwa oesa za ndani sasa sijui unasemaje kuhusu hilo!
We endeleza fikra zako tegemezi. Suala la Zanzibar linashughulikiwa kwa taratibu na sheria siyo kwa kuzima moto. #hapa kazi tu.[/QUOT

Kumbuka bado majukumu ni meeengi sana na sidhani kama nimesema popote kua hafanyi bidii yoyote kwa pesa za ndani ila bado hizo tulizokosa zingeongeza sana hari ya utekelezaji wa majukum na ahadi zake. Bora kubaki kua mwanadiplomasia maana hautakua na mrengo na utauona uweli siku zote, kuliko kua mwanasiasa au mwanachama maana hata ukiona ukweli ni rahisi kuuficha kwa maslahi ya mrengo ama chama, ukweli utatuweka huru siku zote.
 
Tutazipata tu hizo hela ndani ya mapato yetu wenyewe.

Kunyimwa ni vizuri ili tujuwe kuzitafuta wenyewe

Wewe utakuwa ni wale wale wa jinsia moja! MSAAADA wa nini ! wacha ukimeo UKAWA mkubwa wee!

Mkuu Hebu jikwamue kimawazo na fikra tegemezi. Inawezekana kabisa kujitegemea. Tuna kila lasirimali za kujikwamua kutoka tulipo. Kutembeza bakuli siyo deal! Tufa ye kazi tutende haki, tufanye kazi ki halali nothing is impossible


Angalia mfano miradi kama hii ambayo mkiona umeme unapelekwa vijiini eti mnasifia serikali imefanya vizuri kumbe serikali ni wasimamizi tu lakini kuna wenye kutoa pesa yao:-


Tanzania Yapokea Msaada wa sh. Bilioni 151 kutoka Sweden


swahilivilla: SWEDEN YATOA MSAADA WA SH. BILIONI 44 KWA TANZANIA


china radio international

Hongera Marekani kusaidia Tanzania




=======================================================================================================

Hongera Marekani kusaidia Tanzania
IMEANDIKWA NA MHARIRI IMECHAPISHWA: 29 SEPTEMBA 2015
Kuchapa Barua pepe

0 Comments
JANA gazeti hili lilikuwa na habari isemayo kuwa ?Marekani imeridhia mabilioni Tanzania?. Habari hiyo ilieleza kuwa Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) la Marekani.

Kutokana na hatua hiyo, sasa Tanzania itaanza kupata na kunufaika na dola za Marekani milioni 472.8, sawa na Sh bilioni 992.80, baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo, chini ya Mpango wa Pili wa MCC, maarufu kama MCC-2.

Taarifa hiyo ilitolewa na Mtendaji Mkuu wa MCC, Dana J. Hyde katika mkutano wake na Rais Jakaya Kikwete, uliofanyika katika jiji la New York nchini Marekani mwishoni mwa wiki na kuhudhuriwa na watumishi waandamizi wa MCC, akiwamo Makamu wa Rais wa Operesheni za MCC, Kamran Khan.

Rais Kikwete yupo New York kuhudhuria shughuli za mwaka huu za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Tunaipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutimiza masharti yote ya kupata fedha hizo chini ya mpango huo wa MCC ? 2. Pia, tunaipongeza Bodi ya MCC kwa kuridhika kuwa Tanzania imechukua hatua za dhati kupambana na rushwa.

MCC imeridhika kuwa Tanzania inakabiliana ipasavyo na rushwa na imechukua hatua stahiki, kukabiliana na kero hiyo. Rushwa ndicho kipengele pekee, kilichokuwa kimesalia katika masharti kadhaa ya kupata fedha za MCC.


Tofauti na fedha nyingi zinazotolewa na wafadhili wengi duniani, fedha za MCC hazitakiwi kurudishwa na nchi inayopewa fedha hizo na pia nchi husika hupewa uhuru wa kuchagua aina ya miradi ya maendeleo, ambayo inaitaka igharimiwe na fedha hizo.

Tunawaomba wajumbe wa Bodi ya MCC, waidhinishe haraka mabilioni hayo kwa Tanzania, ambayo yatatumika kuboresha huduma za umeme nchini Tanzania, ikiwemo kusambaza umeme katika vijiji vingi zaidi. Kiasi cha asilimia 46 ya Watanzania wanapata umeme na sehemu kubwa ya asilimia hiyo ya sasa, imetokana na msaada wa MCC-1.


Asilimia hiyo 46 ni kubwa ukilinganisha na asilimia 10 ya Watanzania mwaka 2005. Kiasi kilichotolewa kwa Tanzania wakati wa MCC-1 ndicho kilikuwa kikubwa zaidi, ambacho kimepata kutolewa na Serikali ya Marekani chini ya mpango huo, na kupitia MCC-2, Tanzania itakuwa nchi ambayo duniani itakuwa imepata kiasi kikubwa cha fedha za maendeleo chini ya MCC.

Hongera Tanzania kwa kuvuka sharti la kupambana na rushwa!. Hongera Tanzania kwa kuweza kufaulu kupata raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka MCC!.

Source: GAZETI HABARI LEO - 29 Sept. 2015

====================================================================================================
 
Swala la kujitegemea ni zuri na lazima liwe azma yetu. Lakini hata tukiwa tumejitemea ndo iwe sababu ya kubaka demokrasia? Kilichofanyika Zanzibar ni uhuni mtupu na jambo ambalo linaweza tu kufanywa na "banana republic"!!
 
[h=1]Hii ni rasmi tumenyimwa! Angalia hapa chini;
----------------------------------------------

MCC Board Selects Five Countries for MCC Partnerships[/h][h=1]New Compacts with Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal, and New Threshold Programs with Sri Lanka and Togo[/h]For Immediate Release
December 17, 2015
Renee Kelly
202-521-3880

WASHINGTON, D.C., Dec. 17 ? The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors held its quarterly meeting on Dec. 16, 2015. The Board approved three countries as eligible for compacts and two countries as eligible for threshold programs. Three of the five countries are new partners for MCC and all have worked hard to improve their performance on MCC?s scorecard, which measures countries? commitment to ruling justly, economic freedom, and investing in their people.
The Board selected Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal as newly eligible for compacts. Cote d?Ivoire, which was selected in December 2014 for a threshold program, will now transition into the compact program after showing continued improvement on its scorecard and achieving greater political stability. Kosovo, which passed MCC?s scorecard for the first time after making progress on democratic rights, is a new partner for MCC. Senegal successfully completed its first MCC compact in September and demonstrated improved scorecard performance over the life of the partnership.
In both Senegal and Cote d?Ivoire, the Board recommended that MCC explore potential investments that address regional obstacles to economic growth, in addition to domestic investments, while recognizing the need for statutory authority to optimize regional impact.
The Board also selected Togo and Sri Lanka to develop MCC threshold programs. Togo has shown a clear upward trajectory on overall scorecard performance over the past few years. Sri Lanka has embarked on a remarkable effort over the past year to reinvigorate its democratic institutions, improve governance, and restore protection of human rights.
Nepal, Niger and the Philippines were reselected by the Board to continue developing their compacts. The Board reselects all countries in compact development as part of the annual selection process. The Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.
Finally, the Board reaffirmed its commitment to developing a compact with Mongolia and its support for a strategic partnership with India to advance economic growth and poverty reduction in South Asia.


The Millennium Challenge Corporation is an innovative and independent U.S. Government agency working to reduce global poverty through economic growth. Created by the U.S. Congress in January 2004, with strong bipartisan support, MCC provides time-limited grants and assistance to countries that demonstrate a commitment to good governance, investments in people and economic freedom. Learn more about MCC at www.mcc.gov.
 
Mi naona hawa huwa wana sababu zao za kutotoa msaada. Siwezi amini eti hiyo ndo sababu. Kwani wao sera zao za mambo ya nje zina hata chembe ya demokrasia?

Kwako sio sababu ya msingi kwa sababu huathiriki na chochote
 
Actually hili swala kwa msiojua, tokea escrow, mkwere aliwa shit mbaya hao mcc/wazungu. Serikali ilaka kimya na wazungu nao waka mute.

Mwisho wa siku wazungu wakarudi wenywe kwa mlango wa nyuma maana kukupa msaada ni biashara kwao sio kwamba wanakupabkwa mapenzo yao tu??
Hapa kazi tu tufanye kazi kwa bidii tunaweza kupata maendeleo bila pesa za masharti
 
Back
Top Bottom