gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,185
- 570
A blessing by disguise, tukusanye kodi zetu wenyewe ili nasi siku moja tuwe donner country.
Umeongea point
A blessing by disguise, tukusanye kodi zetu wenyewe ili nasi siku moja tuwe donner country.
Salas la nchi ki vipi? . Kwamba Tz inayojinasibu ni ya kidemocrasi kumbe Changa la macho ?
Mi niwaulize pro ccm (utawala) kwenu mambo ya ndani na kidemocrasi ni kuifavor ccm??. Hata kama ni kuvunja sharia ?
Kujitegemea ni jambo la lazima na haliepukiki ukizingatia ni watawala (viongozi) haohao wanaotuingiza mikataba ya kishenzi na hao jamaa
Ni kweli mkuu!
Hatua ya kwanza tuwashukuru wazungu kutunyima pesa yao.
Pia tumshukuru Mungu kutupatia raisi asiye chekea wakwepa kodi na wala rushwa na wazembe.
Tukatae roho ya utegemezi na kutokujiamini. Tunaweza x 1,000,000,000 kujitegemea na kuendelea kama taifa bila kutegemea wazungu!
Chukua muda kutafakari,siku tukiingia machafukoni kisa mambo ya ubakwaji demokrasia tutawaangukia wao kusaidia kuirejesha amani!Angalia burundi hali ilivyo
kwa hiyo wewe unachekelea. ni vizuri kupata hizo hela ila sio kwa kuingiliwa uhuru wetu wa kitaifa.Habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.
Ni kweli mkuu!
Hatua ya kwanza tuwashukuru wazungu kutunyima pesa yao.
Pia tumshukuru Mungu kutupatia raisi asiye chekea wakwepa kodi na wala rushwa na wazembe.
Tukatae roho ya utegemezi na kutokujiamini. Tunaweza x 1,000,000,000 kujitegemea na kuendelea kama taifa bila kutegemea wazungu!
Chukua muda kutafakari,siku tukiingia machafukoni kisa mambo ya ubakwaji demokrasia tutawaangukia wao kusaidia kuirejesha amani!Angalia burundi hali ilivyo
Kabla hujachangia hii topic unalazimika kuwa na kibari harari cha kuishi na kujiusisha na mambo ya ndani ya Tz. Kachangie kwenu Kenya.
Nadhani wafadhiri wetu wako right maana ma ccm kama Nkurunzinza siyo ya kuchekea
Mi naona hawa huwa wana sababu zao za kutotoa msaada. Siwezi amini eti hiyo ndo sababu. Kwani wao sera zao za mambo ya nje zina hata chembe ya demokrasia?
Mimi naona tz wafute tuu cyber crime
Salaaam kwa wamarekani. Watatunyanyasa sana, watatupangia sana lakini kama nchi huru tutapambana kwa ajiri ya nchi yetu. Wamenyimwa gesi walitaka tuingie vitani wakati wa uchaguzi sasa roho imewauma, na wataendelea kuelewa tu. Pesa zao wakae nazo ama wapeleke Libya waliko haribu.
Hii ndiyo statement ya The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors!
For Immediate Release
December 17, 2015
Renee Kelly
202-521-3880
The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors held its quarterly meeting on Dec. 16, 2015. The Board approved three countries as eligible for compacts and two countries as eligible for threshold programs. Three of the five countries are new partners for MCC and all have worked hard to improve their performance on MCC?s scorecard, which measures countries? commitment to ruling justly, economic freedom, and investing in their people.
The Board selected Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal as newly eligible for compacts. Cote d?Ivoire, which was selected in December 2014 for a threshold program, will now transition into the compact program after showing continued improvement on its scorecard and achieving greater political stability. Kosovo, which passed MCC?s scorecard for the first time after making progress on democratic rights, is a new partner for MCC. Senegal successfully completed its first MCC compact in September and demonstrated improved scorecard performance over the life of the partnership.
In both Senegal and Cote d?Ivoire, the Board recommended that MCC explore potential investments that address regional obstacles to economic growth, in addition to domestic investments, while recognizing the need for statutory authority to optimize regional impact.
The Board also selected Togo and Sri Lanka to develop MCC threshold programs. Togo has shown a clear upward trajectory on overall scorecard performance over the past few years. Sri Lanka has embarked on a remarkable effort over the past year to reinvigorate its democratic institutions, improve governance, and restore protection of human rights.
Nepal, Niger and the Philippines were reselected by the Board to continue developing their compacts. The Board reselects all countries in compact development as part of the annual selection process. The Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.
Finally, the Board reaffirmed its commitment to developing a compact with Mongolia and its support for a strategic partnership with India to advance economic growth and poverty reduction in South Asia.