Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

Siku nchi hii itakapovunjika amani kama Burundi sababu ya masuala ya uchaguzi,tukaanza kuuana ndio mtajua kwanin wanatunyima msaada!Wakiendelea kutupa misaada huku demokrasia ikiendelea kubakwa siku yakitokea yakutokea tutaanza kuulizana walikuwa wapi kufumbia m?cho viashiria vya uvunjifu wa amani ambapo kwa wingi Africa imeonekana kuwa ni ubakaji wa demokrasia!
Hakika tusipojirekebisha,ipo siku tutawakumbuka kwa kutuonya mara kwa mara!

Mkuu pokea like yangu, umesema kweli kabisa.
 
Nadhani ni jambo la maana sana hili, naomba waendelee kutunyima misaada zaidi, nina hakika pesa yetu ikidhibitiwa kama sasa hatuhitaji tena hiyo misaada yao
 
Hakika wazungu hawa watatudhalilisha sana. Nyerere alisema kweli kwamba mnaweza kuachana na Ujamaa lakini hamtaweza kuachana na Kujitegemea. Nikigombea urais mwaka 2025 kauli mbiu angu itakuwa "Hapa Kujitegemea Tu"

Tatueni mgogoro wa zanzibar huko

Ile ndoto ya kutimiza ahadi inayeyuka kwa baadhi ya mambo
 
Washabikie tu iko siku watakwambia ili upate hiyo hela yako ukubali watu wafanye ngono na mbwa uoe mwanamme na ndoa za waume kwa wake marufuku usipokubal hawakupi misaada ndo unajua yesu yu mlangon

Maneno ya wabakaji wa demokrasia

Ccm mpo tayari kwa lolote ili mradi tu mbakie madarakani 😁😁😁
 
Hawa jamaaa wana staili nyingi tu za kubana NCHI KAMA zetu hiyo MCC ni mwanzoni tu
 
wamarekani wajinga wameona magufuli hawawezi kumshika wanatafuta visingizio vya kijinga hata sisi hatutaki pesa zao mtegemea cha nduguyo hufa maskini tujitegemee sasa Rais makini tunaye.
 
habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.

Manina zao, hatuhitaji msaada wao wenye kutupangia cha kufanya! Wakaboreshe ushoga na hiyo pesa nchini mwao.
 
Ni kweli mkuu!

Hatua ya kwanza tuwashukuru wazungu kutunyima pesa yao.

Pia tumshukuru Mungu kutupatia raisi asiye chekea wakwepa kodi na wala rushwa na wazembe.

Tukatae roho ya utegemezi na kutokujiamini. Tunaweza x 1,000,000,000 kujitegemea na kuendelea kama taifa bila kutegemea wazungu!

sahihi kabisa mkuu tusimame kwa miguu yetu wenyewe haya mabepari watukome kabisa wametuchezea mda mrefu sana.
 
Hatutaweza kuendelea bila kuachana na misaada. Fedha wanayotoa ni 10% ya fedha wanayoiba. Wakifuta misaada ndio tutaweza kufanya nao biashara za haki, wafute tu!
 
Kwa kutegemea misaada kwa maendeleo yeti ni utumea. Tukumbuke ya kuwa lazima tufanye kazi kwa bidii ili tujemge nchi yetu wenyewe.

Kuandika hamjui je kujitegemea? Uko la saba ila kuandika bado unaangalizia!!
 
hwla yenyewe shingapi ??? wapite ivi kama tukisurvive bila kua na pesa yao wataona aibu
 
Hatutaweza kuendelea bila kuachana na misaada. Fedha wanayotoa ni 10% ya fedha wanayoiba. Wakifuta misaada ndio tutaweza kufanya nao biashara za haki, wafute tu!

Alafu na sisi ile mikataba mibovu tunayoogopa kuovunja sababu tunajua kiasi gani tunawategemea ndo muda sahihi wa kuivunja! Ni udikteta mbenda mbele sasa ma hawa jamaa.
 
Chukua muda kutafakari,siku tukiingia machafukoni kisa mambo ya ubakwaji demokrasia tutawaangukia wao kusaidia kuirejesha amani!Angalia burundi hali ilivyo

Mtu mwenye akili timamu huwezi kuilinganisha nchi yetu na Burundi. The situations are totally different. Ubakwaji gani wa demokrasia umefanywa? Nyie ndo vibaraka wa nchi za magharini. Km unaijua demokrasia kamuulize JOHN Kerry alipogombea huko huko ilikotoka hiyo demokrasi!!
 
i dont care whether watatoa ama la kero yangu ni kua uhuni wa kisiasa haufai ni kero na hawa jamaa wanapotoa pesa zao wangetamani ziangukie kwenye mikono salama ili zilete matokeo wanayoyataka jambo la kukumbuka ni kua wanaimarisha miundombinu ili kunusuru mitaji yao waliyowekeza hapa nchini jambo la mhm ni kuimarisha demokrasia ili kura za wananchi zisichezewe hata bila kujali kama kuna misada inakuja ustaarabu ni tabia
 
Siku nchi hii itakapovunjika amani kama Burundi sababu ya masuala ya uchaguzi,tukaanza kuuana ndio mtajua kwanin wanatunyima msaada!Wakiendelea kutupa misaada huku demokrasia ikiendelea kubakwa siku yakitokea yakutokea tutaanza kuulizana walikuwa wapi kufumbia m?cho viashiria vya uvunjifu wa amani ambapo kwa wingi Africa imeonekana kuwa ni ubakaji wa demokrasia!
Hakika tusipojirekebisha,ipo siku tutawakumbuka kwa kutuonya mara kwa mara!
Pokea like zangu 100 kwa mpigo!
Huo ni ukweli mchungu ambao wanaccm hawatataka kuuelewa kamwe.
Kwa kuwa wao wanaamini Mwenyezi Mungu amewapa hati miliki ya kuitawala nchi hii hadi mwisho wa dunia!
 
Washabikie tu iko siku watakwambia ili upate hiyo hela yako ukubali watu wafanye ngono na mbwa uoe mwanamme na ndoa za waume kwa wake marufuku usipokubal hawakupi misaada ndo unajua yesu yu mlangon

Duh!! Kwani leo ni jumapili?
 
Kabla ya kuanza ushabiki me nadhani tujifikirie sote kwa kina, ni kwanini hiyo misaada imezuiliwa na impact yake katika nchi yetu kwa huu wakati tuliopo. Je hizo sababu zao zina mashiko?

Tusiwalaumu hao jamaa walioshika makali, kiukweli nchi yetu inahitaji huo msaada sana ili kumsaidia Rais kutimiza ahadi zake alizotoa kipindi cha kampeni, kwa sasa makusanyo ya ndani hayawezi tutosheleza kwa kila kitu, miradi mingi itakwama na ukizingatia kwa sasa tunasuala la elimu bure na juzi Rais kasema zinatakiwa zaidi ya billion 300 ili kutimiliza hayo.
Bado maeneo mengine ya hadi hayajaguswa hata kidogo, sasa haya mapato yetu ya ndani hayatoshi kamwe na kwa sasa yanaweza pungua zaidi sababu hela haipo kwenye mzunguke, the government is not spending, 90% of daily consumables we are importing, sasa ina maana tunahitaji dollar zaidi. Na project kubwakubwa zote zinazoendelea kwa sasa na zitazoendelea wakandandarasi wote ni makampuni ya kigeni, inamaana tena sio hao hao tunawasaidia to export dollars na uchumi mzuri kwenye nchi wanazotokea hao wakandarasi.

Nadhani hao jamaa wa MCC wamewahi sana kufanya maamuzi, wangelimpa muda Mh Rais angetimiliza tuu yote yanayotakikana kupata huo msaada.

Ushawahi kuwa mchungaji ama shekhe?
 
Back
Top Bottom