Bodaboda na wake za watu

Wewe ni kati ya wale ngamia wachache kama wapo wanaopita kwenye tundu la sindano.....hongera kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app

hv mkuu unadhan boda boda ni threat kwa wake za wtu km mnavyoikuza huku??mie najua boda boda ni sumu wa wadada wa kaz na watoto wa shule..hebu tuwe wakweli...hata km ndo ukame huu jaman hapana...ila sijui
 
Unahangaika kumridhisha mwanamke ili iweje?.hawaridhiki hao,,kama umeoa na anakupa mapenzi unavyotaka mengine kausha,acha na wenzio wale,,mbona mimi hata sijali hayo...nikiona hiyo hali na mimi natafuta watoto wakali nabonjoa.. hela tu ndo kila kitu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 


😂😂😂ww umekata tamaa mno na ww ...tunaridhika sana tu
 
Mkuu Umechambua kwa Umahiri na Uzoefu wa hali ya Juu,Hongera..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
n
Ni hivyo tu. Ukijitambua tu,unaongea nao kawaida,akija anga zile maadam unajitambua unamtolea nje huku unacheka,yeye kucheka atajua umeingia line,kesho za uso tena. Itakuwa heshima kwa wote

Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli usemayo...yaan ht km king'ang'anizi vipi..yaan mie nahis naongeaga na wafu vile.khaaa
 
Nyinyi siyo watu yan,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,mama shemeji yenu alitaka kunipanua moyo ila nimesema hapanuki moyo mtu hapa,,tutakutana mezan kwenye mahesabu,nakula totoz kama sina akili timamu japo navaa helmet..hata upige iwake moto nyie viumbe hamtosheki..sasa mimi totoz za chuo zinanikoma..
[emoji23][emoji23][emoji23]ww umekata tamaa mno na ww ...tunaridhika sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

😂😂😂 pole...alikufanyaje mkuu...ila si utafte totoz 1 bas..huon unajichosha
 
nimekujua we ndo mke wako mrefu mweupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kujifagilia mkuu, hawa Mama zetu hawana kundi lolote bali wameumbwa tu dhaifu.

Sasa wale wanaowasafisha kucha za miguuni na kuwapakaa rangi utawaweka kundi gani?

Unadhani wangekuwa wana upeo wa akili sawa na sisi Wanaume tungewapata vipi tukiwatongoza?

Mungu alishathibitisha kuwa Wanawake ni viumbe dhaifu, so usilazimishe wafanane akili na sisi Wanaume tuliopewa mamlaka ya kuwatawala maisha yao yote.

Kikubwa hasa ni kuwaongoza katika hekima na kuwavumilia ndipo tutaweza kuishi nao vizuri katika ndoa zetu Chifu.
Kundi lingine hatari kwa wake za watu ni madereva wa daladala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Chifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.
100/100
 
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.
100/100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…