PostGE2025 Bodaboda na Machinga Dar: Desemba 9 hatufungui biashara

PostGE2025 Bodaboda na Machinga Dar: Desemba 9 hatufungui biashara

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Shirikisho la Vyama vya Madereva Bodaboda na Bajaji na Uongozi wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, wameahidi kutofanya kazi siku ya Disemba 9, 2025, kwa madai kuhofia kuingizwa kwenye mkumbo wa watu wanaofanya vurugu, kufuatia tetesi za kuwepo kwa maandamano yanayohamasishwa mitandaoni.

Viongozi wa Shirikisho hilo na wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, Said Kagomba na Namoto Yusuph wakitoa salamu zao katika Kongamano la kupongeza Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge la 13 jijini Dodoma, wameweka wazi msimamo wao kuelekea siku ya Disemba 9, 2025.

Kauli hiyo imeungwa mkono na Mkuu wa wilaya ya Ilala na mwenyekiti wa kamati ya usalama ya wilaya hiyo Edward Mpogolo, aliyeahidi kulifikisha katika vikao husika, huku Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Ilala Kamishna wa Polisi Yustino Mgonja, akieleza mikakati ya jeshi hilo katika kuwalinda raia na mali zao.


Nani kawadanganya kuwa waandamanaji watapanda boda boda au bajaji?
 
Sheikh Bakonzi una vituko,
Hutaki vichwa vya waandamanaji tena?
Safari hii lazima niwasaidie polisi kuwatanguliza nyumbu akhera, nimeanza kunoa panga tangu wiki iliyopita nikikutana na nyumbu mwizi na muharibifu wa mali ya mtu yoyote lazima nichinje hata nyumbu watatu kwa mkono wangu siku hiyo.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Subiri siku ifike ila uwe umeweka akiba ya chakula cha wiki km 2 ndani si umeshawasikia bodaboda wametupa taulo chini
Mimi mwenyewe ni boda boda na tarehe tisa nitaendelea na shughuli zangu, siwezi kukaa ndani
 
Shirikisho la Vyama vya Madereva Bodaboda na Bajaji na Uongozi wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, wameahidi kutofanya kazi siku ya Disemba 9, 2025, kwa madai kuhofia kuingizwa kwenye mkumbo wa watu wanaofanya vurugu, kufuatia tetesi za kuwepo kwa maandamano yanayohamasishwa mitandaoni.

Viongozi wa Shirikisho hilo na wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, Said Kagomba na Namoto Yusuph wakitoa salamu zao katika Kongamano la kupongeza Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge la 13 jijini Dodoma, wameweka wazi msimamo wao kuelekea siku ya Disemba 9, 2025.

Kauli hiyo imeungwa mkono na Mkuu wa wilaya ya Ilala na mwenyekiti wa kamati ya usalama ya wilaya hiyo Edward Mpogolo, aliyeahidi kulifikisha katika vikao husika, huku Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Ilala Kamishna wa Polisi Yustino Mgonja, akieleza mikakati ya jeshi hilo katika kuwalinda raia na mali zao.


Naomba niliulize wamesema tarehe9 tu au tarehe9 na kuendelea
 
Shirikisho la Vyama vya Madereva Bodaboda na Bajaji na Uongozi wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, wameahidi kutofanya kazi siku ya Disemba 9, 2025, kwa madai kuhofia kuingizwa kwenye mkumbo wa watu wanaofanya vurugu, kufuatia tetesi za kuwepo kwa maandamano yanayohamasishwa mitandaoni.



Viongozi wa Shirikisho hilo na wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, Said Kagomba na Namoto Yusuph wakitoa salamu zao katika Kongamano la kupongeza Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge la 13 jijini Dodoma, wameweka wazi msimamo wao kuelekea siku ya Disemba 9, 2025.

Kauli hiyo imeungwa mkono na Mkuu wa wilaya ya Ilala na mwenyekiti wa kamati ya usalama ya wilaya hiyo Edward Mpogolo, aliyeahidi kulifikisha katika vikao husika, huku Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Ilala Kamishna wa Polisi Yustino Mgonja, akieleza mikakati ya jeshi hilo katika kuwalinda raia na mali zao.
 
Sasa wasipofungua biashara maana yake si wataitumia siku hiyo kuingia kwenye maandamano?- Unadhani unaweza kuwaweka vijana ndani wakati nature ya vijana ni curiosity?
 
Wanauhakika gani kama kutakua na vurugu za maandamo, kama siyo kuchochea vurugu, kauli ichunguzwe...


Cc: Mahondaw
 
Shirikisho la Vyama vya Madereva Bodaboda na Bajaji na Uongozi wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, wameahidi kutofanya kazi siku ya Disemba 9, 2025, kwa madai kuhofia kuingizwa kwenye mkumbo wa watu wanaofanya vurugu, kufuatia tetesi za kuwepo kwa maandamano yanayohamasishwa mitandaoni.

Viongozi wa Shirikisho hilo na wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, Said Kagomba na Namoto Yusuph wakitoa salamu zao katika Kongamano la kupongeza Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge la 13 jijini Dodoma, wameweka wazi msimamo wao kuelekea siku ya Disemba 9, 2025.

Kauli hiyo imeungwa mkono na Mkuu wa wilaya ya Ilala na mwenyekiti wa kamati ya usalama ya wilaya hiyo Edward Mpogolo, aliyeahidi kulifikisha katika vikao husika, huku Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Ilala Kamishna wa Polisi Yustino Mgonja, akieleza mikakati ya jeshi hilo katika kuwalinda raia na mali zao.


Kabla ya 29 October matamko yalikuwa mengi hadi mama Abdul alisema hakutakiwa na 'nywi nywi nywi' kwahiyo hayo matamko tumeshayazoea.
 
Back
Top Bottom