Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Mnaangalia tu hao wawili, hamuoni athari watakayopata majority ya wananchi wa kawaida?
Rejao umenena vema, kama Ngeleja na Maige watalia basi watalia kwa jicho moja moja, tena machozi yao ni ya kitambo lakini hao walala hoi ambao walijenga kutumia mafao ya kiinua mgongo machozi yao hayataisha bali yatatirurika kama kijito wakati wa masika.
Kwani wahusika walikuwa wapi wakati watu wanajenga?