Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Katika swala zima la wavamizi haramu wa ardhi huenda Tamu na Chungu kushukia wakazi wa kimara safari hii, ni baada ya Serikali kuamua kuwakabili wa hamiaji haramu wa makazi na safari hii ni wavamizi wa eneo la Tanganyika packers baada ya wale walalahoi wa madale kubomolewa zaidi ya Nyumba mia mbili, Muda wowote kushukiwa na greda la mji.
Source:
Ramani ya Malisho Tanganyika Packers Jiji wanayo:
Hukumu ya kesi Mahakamani.
Taarifa ya mmiliki mpya wa Tanganyika packers.
Source:
Ramani ya Malisho Tanganyika Packers Jiji wanayo:
Hukumu ya kesi Mahakamani.
Taarifa ya mmiliki mpya wa Tanganyika packers.