hashim mwamba
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,018
- 1,105
Muulize mtoa mada
Unaweza kumlinganisha bob marley kweli na dube?,unaweza kwenda ujerumani au ureno ukataja jina la luck dube wakakuuliza ni nani huyu?,bob marley kokote kule ukiulizia unaambiwa alikua ni naniIvi lucky dube na bob marley nani alikua mkali na alitamba sana enzi za muziki wake, Binafsi Wakati nakua nilikua namsikiliza sana lucky dube, lakini walionitangulia wanasema hajawahi tokea kama bob marley.. Nini maoni yako nani mkali kati ya hawa jamaa wawili. Kwangu lucky dube ni bora sauti mashairi mpka ujumbe wa nyimbo zake.
Umemsahau na jah qure kwa upande wa sweet regger lakin THE LEGEND BOB MARLEY hakuna kama huyu kwa upande wa regger kwan alichokua anakiimba ni kitu ambacho kipo mpaka sasa na kinatokea ...mafano nailewa sana nyimbo yake ya "so much troble in the world" yani kama alikuwa aniona kesho...Respect to himKwenye "Sweet Reggae" kuna mtu anaitwa Beres Hammond huyu mzee ni balaa
kweli kituko kama id yako mkuu hahahahaaaaBoby Marley na Muimba Kwaya
Vp kuhusu coverage ya bob na lucky?Aisee Lucky ni wa aina yake, sidhan ka atakuja kutokea mwingine ...Bob ni legend tu
Sent using Jamii Forums mobile app