Bob Marley vs Lucky Dube

Bob Marley vs Lucky Dube

Nampenda sana Luck Dube, msiba wake uliniuma zaidi ya Misiba yote Duniani lla Bob ni namba nyingine, nimepata kuona ducumentaly ya Bob kiukweli jamaa alizaliwa kwa sababu maalum.

Ukianza tu alivyo zaliwa baba mzungu mama mswahili, baba kumtosa mama akapambana. Hakika Bob ni mpango maalumu wa Mungu, kuonyesha binadamu wote ni sawa.

Tazama hata brand yake mpaka leo hipo sokoni Duniani kote, na ipo juu kiheshima zaidi kuliko brand yoyote ile Africa na Dunia. Japo waafrika hatuipi thamani kama wazungu.

Kutoa wanasiasa mashuhuli wa Afrika walio taka kuleta umoja wa Afrika Kama Mwl Nyerere, Mungu amlaze mahali pema baba wa Taifa huyu. Bob pia ni mtu aliyekuwa na mziki wa kuifanya Afrika kuwa moja.

Namu heshimu sana mtu mwenye ndoto za Afrika iwe moja, kwa vijana wasasa ni mtu kama Masud Kipanya, anafanya kazi nzuri sana sana. Hongera sana kaka Masud kupitia crew nzima ya Maisha plus. Endeleza ndoto zako maana kitendo cha kuwa kusanya vile vijana mataifa mbali mbali ni jambo zuri sana. Kazi imebaki kwa viongozi tulionao kuamua tuu kuhiunganisha Afrika kwa faida ya umoja wa vizazi vijavyo.
 
Mwezi huu Jumamosi iliyopita, tar 15, taasisi ya Robin Hood Foundation iliyoanzishwa na Jay Z pamoja na mkewe, waliandaa onyesho la ma-star wakubwa. Nick Minaj alikuwepo. Nick Minaj ni story nyingine kwa rappers wa kike, next to none. Majority tunasema hivyo na inaaminika hivyo. Lakini wakati Minaj akiwa back stage, mara hamad 'L Boogy' a.k.a Laurin Hill, Fugees first lady anaingia. Minaj alienda chini mojakwamoja, akasujudu. Akamshika miguu 'L Boogy', akimwambia "asante dada kwa kutufungulia milango" (paving the way). Wazaramo wanaita 'kutotola'. Uzi wako ndo umenikumbusha hii story. Ni juzi tu.


'
L1.jpg
L3.jpg
L4.jpg
 

Attachments

  • L2.jpg
    L2.jpg
    7.1 KB · Views: 73
Lucky dube ni Noma zaidi. Tafuta wimbo wake unaitwa let jah be praised na Good girl utaleta mrejesho hapa binafs bob naona reggae yake ilikaza sana haikuwa na radha ukilinganisha na Dube japokuwa yeye ndiye muasis wa reggae music lkn bado leo nyimbo za Lucky dube ndo zinaongoza kwa kupigwa
 
Hawa wawili huwezi kuwangalinganisha, kwa sababu kila mmoja ana ubora wake kwa staili yake na wanatofautiana zama. Kila mmoja anasimama kama Legend wa reggae. Kuna Ma-Legend wengi kwenye reggae, ambao huwezi kuwafananisha. Mimi ni mpenzi mno wa reggae, lakini hata siku moja siwezi kupata jibu kikiwashindanisha Peter Tosh, Bob Marley na Bunny Wailer, kwa sababu kila mmoja ana radha yake ya kipekee. Hitimisho ni kwamba Bob huwezi kumshindanisha na Luck Dube hutapata jibu sahihi.
Asante mkuu nimekuelewa saana mkuu
 
Reggae ni nziki wa style, na kila mwanamziki wa reggae and staili yake. Kwa hiyo ukiipenda style flani basi utampenda huyo mwanamziki. Bob anastaili yake
Luck Dube ana staili yake
Alfa Blondy, Culture, UB40, Gregory Isaac na wengine wengi wana stlye zao.
Kwa kweli sitamuelewa mtu atakayesema mwanamziki flani wa reggae yuko juu ya mwenzake. kwanza nitamuona hajui mziki wa reggae.
kwangu hata mtanzania Justine Kalikawe ana mziki mkali zaidi ya Bob. Hata hivyo na Bob nae anemambo yake makali ambayo Kalikawe hana.
Mziki wa reggae ni mziki wa ujumbe, sala-imani na burudani. mwanamziki mingine anaweza changanya yote hayo au akaweka kipengere kimpja tu.
tena kuna aina mbalimbali za reggae, mfano roots, sweet reggae, reggae maffin nk.
Pia kuna mwingine atapenda live perfomance, mwingine atapenda mashairi zaidi, mwingine atapenda kuchanganya kila chombo cha mziki, mwingine atapenda baadhi tu ya vyombo ya mziki.
kwanza kwa wana reggae wa ukweli hakuna atakayeanza kulinganisha mziki wa mtu na mtu mwingine. huo ni utengano na ni uchochezi.
Tulinganishe miziki mingine tu... Reggae tuachane nayo
Nimekusoma ndugu yangu kuna kitu pia nimejifunza. Asante saana
 
Nampenda sana Luck Dube, msiba wake uliniuma zaidi ya Misiba yote Duniani lla Bob ni namba nyingine, nimepata kuona ducumentaly ya Bob kiukweli jamaa alizaliwa kwa sababu maalum.

Ukianza tu alivyo zaliwa baba mzungu mama mswahili, baba kumtosa mama akapambana. Hakika Bob ni mpango maalumu wa Mungu, kuonyesha binadamu wote ni sawa.

Tazama hata brand yake mpaka leo hipo sokoni Duniani kote, na ipo juu kiheshima zaidi kuliko brand yoyote ile Africa na Dunia. Japo waafrika hatuipi thamani kama wazungu.

Kutoa wanasiasa mashuhuli wa Afrika walio taka kuleta umoja wa Afrika Kama Mwl Nyerere, Mungu amlaze mahali pema baba wa Taifa huyu. Bob pia ni mtu aliyekuwa na mziki wa kuifanya Afrika kuwa moja.

Namu heshimu sana mtu mwenye ndoto za Afrika iwe moja, kwa vijana wasasa ni mtu kama Masud Kipanya, anafanya kazi nzuri sana sana. Hongera sana kaka Masud kupitia crew nzima ya Maisha plus. Endeleza ndoto zako maana kitendo cha kuwa kusanya vile vijana mataifa mbali mbali ni jambo zuri sana. Kazi imebaki kwa viongozi tulionao kuamua tuu kuhiunganisha Afrika kwa faida ya umoja wa vizazi vijavyo.
Sikutegemea kama angepatikana mtu akaandika mawazo kama yako... Uzi umekaa kama unataka kushindanisha lakini sasa nimeongeza vitu fulan fulani katika uelewa wa muziki wa regae
 
Mwezi huu Jumamosi iliyopita, tar 15, taasisi ya Robin Hood Foundation iliyoanzishwa na Jay Z pamoja na mkewe, waliandaa onyesho la ma-star wakubwa. Nick Minaj alikuwepo. Nick Minaj ni story nyingine kwa rappers wa kike, next to none. Majority tunasema hivyo na inaaminika hivyo. Lakini wakati Minaj akiwa back stage, mara hamad 'L Boogy' a.k.a Laurin Hill, Fugees first lady anaingia. Minaj alienda chini mojakwamoja, akasujudu. Akamshika miguu 'L Boogy', akimwambia "asante dada kwa kutufungulia milango" (paving the way). Wazaramo wanaita 'kutotola'. Uzi wako ndo umenikumbusha hii story. Ni juzi tu.


' View attachment 421503 View attachment 421505 View attachment 421506
Aseee hii sikuwahi kuipataa asante mkuu
 
Luck dube ni.mzurii Latino bob...nyie hyu Jamaal alikuwa real genius. ..ebu cklza who the cap fit. ..real situation. ..nk.....utaona urofautiii...mkubwa ..sna Wada...
 
Aseee hii sikuwahi kuipataa asante mkuu
Unamjua vizuri L'boogy Lauryn Hill? Lauryn aliolewa na Rohan Marley mtoto wa Bob na kupata watoto.....5 nafikiri. Lauryn Hill ni Goddess......anaheshimika mno, anajielewa mno. Kiufupi nikama vile ameendeleza spirit ya Bob kwa namna yake.

Ni sawa kabisa Nicki kushow respect yakiwango cha juu kabisa kwa Lauryn......heshima tele kwa Ms Lauryn Hill
 
Kingine kuhusu Tuff Gong na Lucky Dube

Lucky Dube is nowhere near Bob Marley and Bob Marley couldnt do it without Rastafarai because it's Rastafari teachings and consciousness that eleveted Jamaica and the world at large

Bob is the man......real man.

Bob si wahivivivi.....nyimbo zake ni kama vile Jah alikuwa anaandika.....Neil Garrick anasimulia Bob never struggled to write lyrics.

Skippa alikuwa na nyimbo nyingi si mchezo na zote noma sana.

Nimeshangaa unamfananisha Honorable Bob Marley na Luck Dube.

Mkuu wewe inaonyesha haujui sana kuhusu Reggae music.....unafuatilia juujuu tu.
 
Pamoja na kwamba Bob anaonekana ni legend zaidi, lakini personally nakoshwa zaidi na nyimbo za Dube, inawezekana kutokana na wakati ambao mimi nimeanza kufuatilia na kuelewa kinachoimbwa, beats pamoja na melody. Ujumbe wake unatouch mazingira ya Kiafrica Kuliko Bob.
Political Game, Mr, Taxman, The way it is,
Rip what you sow, Slave , Together as one, Its not easy, usizi (huu sielewi kinachoimbwa, bali napenda melody)
 
Ivi lucky dube na bob marley nani alikua mkali na alitamba sana enzi za muziki wake, Binafsi Wakati nakua nilikua namsikiliza sana lucky dube, lakini walionitangulia wanasema hajawahi tokea kama bob marley.. Nini maoni yako nani mkali kati ya hawa jamaa wawili. Kwangu lucky dube ni bora sauti mashairi mpka ujumbe wa nyimbo zake.
Majina yaliyosumbua hapa duniani ni matatu mpaka sasa.
1.YESU
2.MUHAMAD
3.BOB MARLEY
uwe na siku njema
 
Back
Top Bottom