Kwani blog c yake au ni lazima kila mtu aipende cdm? Muacheni na yeye ale ma2nda ya uhuru.Ipo siku atajuta na kusaga meno, yena very soon
waendelee hivyo hivyo .
Mimi siingi tena kwenye hiyo blogu.(Kwani raha sizijui niache BENZI nikimbilie starlet?)
New habari Corp wanajiendesha kwa ruzuku ya bosi labda naye Michuzi huwezi jua.
Hukumsikia Eginald na Mukama wanawania kuwa na mtandao wa jamii unaowafagilia???
Hapa JF ndio nimefika (hoja kwanza na sio ushabiki wa kichama) A place where CDM and CCM share and exchange fires upon HOJA.
Ung'ekuwa Shilembi anamkwaruzano na viongozi wenzake...hapo ingeelezewa mpaka kiamaWadau nimeperuzi tena Blogu ya Michuzi na kujiridhisha tena kuwa ana hila na CDM, mpaka sasa haja weka picha za mazishi ya Kiongozi wa CDM Shinyanga, Shilembi ila zingekuwa za CCM haraka zinge kuwa posted as BREAKING NEEWZ
Hvi ako kablog cha wabeba box bado kapo tu?
Wewe Bruker (mtumiaji, kwa lugha za kiscandinavia) wapi wamesema ukiwa na blog ni lazima ukidhi sifa za uandishi za check and balance?Hata kama yupo huru na Blogu yake lazima akidhi sifa za uandhi za check and balance, kwanini aelemee upande mmoja zaidi?kwanini anaweka ma upuuzi na kuacha serious ishuz
Unajua Magamba Watu Wabaya Sana!! Wanaua Proffessionalism za Watu Bila Hata Kuwa Na Huruma, Sijajua Huyu Ndugu walimpa Shilingi Ngapi????? Any way Mchumia Tumbo always Unapomshibisha Husahau Hata Kutumia Akili, Poor Issa Michuzi, Ghafla umejiua Kiproffessional!!