BlackBerry is in the house

BlackBerry is in the house

BlackBerry

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
1,839
Reaction score
958
Hey nimejiunga leo nimependa nijitambulisha na humu kwani huwa napenda sana kuja jukwaa hili kama guest nikaona isiwe tabu ngoja tu nijiunge ili niweze kucomment kwenye hoja itakayonivutia.Yaani kuna member huwa nawazimia sana
nawapenda nyote
Ahsanteni
 
Naonaga mnasema niPM mnamaanisha nini leo nitauliza mpaka basi msinichoke
 
Karibu Blackberry,
Ku PM nikutuma Private Massage kwa member, unayetaka kuwasiliana naye,
Privately.
 
Karibu mpaka sebuleni ila ikshazoea ntamwambia maria roza akukaribishe chumbani kuleeeeeee kwa wazeeeeee!!!!!!!
 
Karibu Blackberry,
Ku PM nikutuma Private Massage kwa member, unayetaka kuwasiliana naye,
Privately.

Ina maana naweza kuwasiliana humuhumu na mtu bila wengine kujua? looo kumbe naweza wapm watu naowazimia humu hata kama hawataki? au unauliza kwanza
 
Karibu mpaka sebuleni ila ikshazoea ntamwambia maria roza akukaribishe chumbani kuleeeeeee kwa wazeeeeee!!!!!!!

Wapi huko mie ndio kunanifaa nafanyaje kufika huko? au mpaka uwe member mkongwe?
 
karibu bulaka beli. Wenzio akina nokia, sumsung, hin hong(mchaina) firerora(motorora) umewaacha wapi? Ha ha ha ha
 
Karibu Blackberry njoo MMU no strings, no stress hapa ni full maloveee na maushauri. nakupenda na wewe pia
 
Nimesahau kuna upande wako wa kushoto chini ya kila post kuna kitu kimeandikwa thanx ni vizuri ukaanza kukitumia sasa hivi tehetehe
 
Nimesahau kuna upande wako wa kushoto chini ya kila post kuna kitu kimeandikwa thanx ni vizuri ukaanza kukitumia sasa hivi tehetehe

Ahsante dada angu nimekigonga kwa nguvu sana hadi nahisi kidole kinauma. ni cha nini na kina faida gani? mbona sehemu zingine nimekuta kinyota tu. dada huw nakupenda sana na wewe halafu nakuonea huruma ile hoja yako nimeisoma last week imeniumiza sana i hope ur happy now. God bless you gaga
 
Karibu BlackBerry ila tu usije ukawa BlackBerry toleo la mchina
 
Jisikie uko nyumbani. Hili ni jukwaa la wastaarabu na tunapenda kutumia lugha za kistaarabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom