Watumishi wa Mungu Toka zamani waliwaonya wafalme walipokengeuka mfano-Sasa kama ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu? Hayo mahojiano yanaanzaje kufika Kanisani kwake wakati hayo ni mambo ya kaisari? Gwajima anapenda mashindano yasiyokuwa na tija, Hakuna sababu yoyote ya kufanya hivyo.
Eliya kwa Ahabu
Daniel kwa Nebukadneza nk.
Hata hawa wa Sasa wanatakiwa kufanya hivyo.Shida wanapowaonya watawala wanateswa mpaka waogope.
Sasa wamekutana na jasusi la Mbinguni lipo tayari kupoteza Ubunge.