Bishop Gwajima kuweka mahojiano yake wazi kesho. Anadai amewafumba midomo waovu

Sasa kama ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu? Hayo mahojiano yanaanzaje kufika Kanisani kwake wakati hayo ni mambo ya kaisari? Gwajima anapenda mashindano yasiyokuwa na tija, Hakuna sababu yoyote ya kufanya hivyo.
Watumishi wa Mungu Toka zamani waliwaonya wafalme walipokengeuka mfano-
Eliya kwa Ahabu
Daniel kwa Nebukadneza nk.
Hata hawa wa Sasa wanatakiwa kufanya hivyo.Shida wanapowaonya watawala wanateswa mpaka waogope.
Sasa wamekutana na jasusi la Mbinguni lipo tayari kupoteza Ubunge.
 
Mwsmbieni Gwajji zile boti za kawe vipi zinakuja lini ili project ya uvuvi kawe ianze, treni inaweza kuja baadae kipindi chake cha pili cha ubunge.
 
Ile mipasho aliyokuwa akiitoa kanisani kwake ndio mambo ya kiimani yale? akaenda mbali mpaka kumfukuza mtu kwenye ukoo wao ndio imani yenu hiyo?

Tumeaswa kujihadhari na manabii wa uongo.
We umeshachanjwa?
 
AA2bRM.jpg
 
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.

Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!

Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Apoteze ugali,thubutuu!
 
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.

Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!

Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
💪🏽👊🏽👍🏽😅😂
 
Gwajike vs Gwajime vs Job
Hapa umewawezea. Nilikuwa napata shida sana kuwatenganisha hawa viumbe wanaomtesa Mh. Rais Mama yetu Samia.

Gwajike ameufyata wiki hii yote hajajibu tena mapigo.

Gwajime anaendelea kuupiga mwingi. Tumsikilizie kesho ibadani Ufufuo na Uzima Ubungo.
 
Hapa umewawezea. Nilikuwa napata shida sana kuwatenganisha hawa viumbe wanaomtesa Mh. Rais Mama yetu Samia.

Gwajike ameufyata wiki hii yote hajajibu tena mapigo.

Gwajime anaendelea kuupiga mwingi. Tumsikilizie kesho ibadani Ufufuo na Uzima Ubungo.
Nani vile?aaha gwajibo.
 
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.

Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!

Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Una uhakika na usemacho or you are just trying to make things up?
 
Back
Top Bottom