Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.
Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!
Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Updates:
Tunaomba ambao mmeshafika eneo la ibada mtujuze kinachoendelea
Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!
Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Updates:
Tunaomba ambao mmeshafika eneo la ibada mtujuze kinachoendelea