Bishop Gwajima kuweka mahojiano yake wazi kesho. Anadai amewafumba midomo waovu

Ile mipasho aliyokuwa akiitoa kanisani kwake ndio mambo ya kiimani yale? akaenda mbali mpaka kumfukuza mtu kwenye ukoo wao ndio imani yenu hiyo?

Tumeaswa kujihadhari na manabii wa uongo.
Hapo kwenye unabii wa uongo nakuunga mkono
 
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.

Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!

Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Yehova hachangamani na mzinzi, mwongo, tapeli, mzushi na mwizi wa kura
 
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.

Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!

Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Tatizo huwezi kutumia kanisa kama kichaka cha kuihujumu serikali.
 
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.

Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!

Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Hata kama atafukuzwa Ubungr yeye atasimama na msukule wake Jiwe.
 
Kama ilivyo kwa wenye hiari ya kuchanja kuwaambia na kufanya makongamano kuhusu ulivyo ubora na uzuri wa chanjo, ndivyo hivyohivyo kwa wenye hiari ya kutochanjwa!

Sasa ubaya wa Gwaji boy uko wapi! kama ni ubaya basi hata hao wanaosgawishi watu wachanje, wanamakosa kwa sababu ni hiari na siyo lazima
Ubunge waliopewa utawatesa sana
 
CCM walikuwa wanajua kuwa wana nafasi kubwa ya kushinda kiti cha Kawe kwa vile Mdee alikuwa ni mwanaharakati tu badala ya kuwawakilisha wana Kawe Bungeni. Tatizo la CCM ni kuwa waliondoa mwana harakati (Mdee) na kuweka tapeli (Gwajima). Ni afadhali wangemwachia mtoto wa dada yake Magufuli ambaye ndiye aliyekuwa ameshinda primaries.
 
CCM walikuwa wanajua kuwa wana nafasi kubwa ya kushinda kiti cha Kawe kwa vile Mdee alikuwa ni mwanaharakati tu badala ya kuwawakilisha wana Kawe Bungeni. Tatizo la CCM ni kuwa waliondoa mwana harakati (Mdee) na kuweka tapeli (Gwajima). Ni afadhali wangemwachia mtoto wa dada yake Magufuli ambaye ndiye aliyekuwa ameshinda primaries.
Du! Ila awamu ya 5 ukabila ulishamiri kweli kweli!
 
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.

Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!

Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!

Updates:
Tunaomba ambao mmeshafika eneo la ibada mtujuze kinachoendelea
Habari ya ukabila unaingiaje hapa?! Ujumbe wako ni mzuri kosa ni kuongelea habari ya kabila
 
Mipasho maana take nini? Siku ukitakiwa kujibu kashfa ya kuita mahubili ni mipasho utakuwa tayari?? Kumbuka leo kwa Gwajima kesho kwako, Dunia ni duara, na Cyber crime haina mwenyewe
 
Ile mipasho aliyokuwa akiitoa kanisani kwake ndio mambo ya kiimani yale? akaenda mbali mpaka kumfukuza mtu kwenye ukoo wao ndio imani yenu hiyo?

Tumeaswa kujihadhari na manabii wa uongo.
Kweli hii mbaya sana!
 
Back
Top Bottom