PreGE2025 Bishop Gwajima atangaza Maombi ya siku 7 kuwaombea Lissu, Kitima, Mdude, Soka , kuomba Mungu ashughulike na Watekaji ili utekaji Ukome

PreGE2025 Bishop Gwajima atangaza Maombi ya siku 7 kuwaombea Lissu, Kitima, Mdude, Soka , kuomba Mungu ashughulike na Watekaji ili utekaji Ukome

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Jino kwa jino bampa tu bampa , ugoko kwa ugoko, dunia yenyewe haitaki watu wadhaifu na waoga , ingekua ni kumwachia huyo Mungu ungekuta Israel ama Palestine imeshafanya hivyo kitambo
😍
 
Wenzetu wakiiingia barabaran kuwaondoa mafisadi,cc wa Tz tunajidai na maombi km tunakemeaa mapepo ingali wezi wanaendelea kuibaa miaka na miaka Toka hayo maombi hewa yaombweee 🤔🤔
 
Back
Top Bottom