Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Wakuu ni Kila siku kuanzia saa 10, Maombi hayo atayaongoza yeye Mwenyewe.
Aseme HATAKI KUONA UTEKAJI unaendelea nchini.
Aseme HATAKI KUONA UTEKAJI unaendelea nchini.
Wakuu ni Kila siku kuanzia saa 10, Maombi hayo atayaongoza yeye Mwenyewe.
Aseme HATAKI KUONA UTEKAJI unaendelea nchini.
Hakuna pigo ccm itapigwa kwa maombiCCM itapata pigo kubwa Sana mwaka huu
Haita saidia kwa chochote zaidi ya vitisho na kujifariji , hawa ni kuwapelekea moto tuAunguwe mkono
Ushauri wako tafadhali,, tuwekeze kwenye njia ipi ili tuweze kupata mabadiliko??Toka taifa limeanza kila siku linaombewa kikabadilika kipi? Nafikiri kutaka mabadiliko kwa kuwekeza kwa kwenye njia hii ni kuonyesha kuwa maadui wana nguvu na hatuwawezi kwa lolote.
Na unamwachia Mungu ambae hata kumthibitisha tu hauwezi🤔Adui unayemuweza usimuachie Mungu
Jino kwa jino bampa tu bampa , ugoko kwa ugoko, dunia yenyewe haitaki watu wadhaifu na waoga , ingekua ni kumwachia huyo Mungu ungekuta Israel ama Palestine imeshafanya hivyo kitamboUshauri wako tafadhali,, tuwekeze kwenye njia ipi ili tuweze kupata mabadiliko??
😂Na unamwachia Mungu ambae hata kumthibitisha tu hauwezi🤔
100%Jino kwa jino bampa tu bampa , ugoko kwa ugoko, dunia yenyewe haitaki watu wadhaifu na waoga , ingekua ni kumwachia huyo Mungu ungekuta Israel ama Palestine imeshafanya hivyo kitambo
Indeed100%
Unabii unasema mwaka huu Mungu yupo upande wa walioonewa.Wakuu ni Kila siku kuanzia saa 10, Maombi hayo atayaongoza yeye Mwenyewe.
Aseme HATAKI KUONA UTEKAJI unaendelea nchini.
😍Jino kwa jino bampa tu bampa , ugoko kwa ugoko, dunia yenyewe haitaki watu wadhaifu na waoga , ingekua ni kumwachia huyo Mungu ungekuta Israel ama Palestine imeshafanya hivyo kitambo