Notorious_Marcc
JF-Expert Member
- Feb 16, 2024
- 2,599
- 6,127
Lakini si unaelewa kuwa vyombo vya dola ndo vipo mbele kum support bibi kizee??Jino kwa jino bampa tu bampa , ugoko kwa ugoko, dunia yenyewe haitaki watu wadhaifu na waoga , ingekua ni kumwachia huyo Mungu ungekuta Israel ama Palestine imeshafanya hivyo kitambo
Bampa to bampa tunaenda nao vipi hapo??