hongereni wote jamani.hongera sana!
Ninachokifurahia ni kwamba na mimi pia ni birthday yangu.idea ilikuwa kupost the same stuff.lakini kama hivi umeniwahi haina mbaya,naomba tuungane kuiadhimisha siku kama hii!
Happy birthday kichuguu+geoff
hahahahah!
mkuu kwa niaba yangu na kichuguu napenda kutoa shukrani zangu za dhati.
napenda kukuthibitishia tu kwamba tu mapacha.na mzazi wetu hapa ni jf
Siku ya kuzaliwa kwangu ni tarehe 27 September. Nilizaliwa miaka mingi ilyopita wakati nchi ikiwa ya kijani sana. Sasa hivi naona uchungu kuwa nchi yote ni ya kahawia.
Hebu nipe salamu za happy birthday na naahidi nitazipokea kwa moyo mkunjufu kwa vile nimeshavuka kiwango cha umri wa mtanzania wa kawaida, yaani ninakula bonasi ambayo watanzania wengi hawaipati.
Happy belated Birthday Kichuguu na Geof. Lakini hata mie birthday yangu ni the same day(jana) ila sikuweza kupita humu maana dear hubby alienda kunificha mbaliiiiiiiiiii.
It feels good kujua kuna watu tunashare hapa JF. GOD BLESS YOU ALL.
happy bday dear ticha happy bday to you
who is ticha?
Wow! hongera Carmel ninazidi kufurahi kujua watu tulio zaliwa siku moja hata mie jana ilikuwa bday yangu pia
Congrats an happy belated b'day. inabidi next yera Mungu akituweka hai tutafutane siku hiyo wote tulio bongo au mnasemaje
Good idea CarmelCongrats an happy belated b'day. inabidi next yera Mungu akituweka hai tutafutane siku hiyo wote tulio bongo au mnasemaje
Am also contributing my prayers on this B.AHappy Birthday Mkuu Kichuguu. Have a lovely and enjoyable day with your loved ones and may you live to blow 101 candles.
pole sana OPNakumbuka tarehe hii dada yangu alimaliza chuo kikuu na kufariki tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo 28/09/1998 marehemu aisha msemo. Alifariki tanga na kuzikwa tanga alimaliza chuo mwaka 98, Bsc Eng. Chuo kikuu cha dar es salaam.
Namuombe huko aliko akae mahala pepa peponi
amina