Tukazane kuiondoa CCM madarakani kama kweli tunawapenda hawa ndege. Misitu ya TAO la mashariki upande wa Morogoro ndio kuna bird species ambazo hazipatikani sehemu nyingine duniani. Kama wameweza kumpandisha TWIGA kwenye ndege, itakuwa tundege tudogo twenye gramu 25?
Tupige vita CCM, adui wa Twiga hai na Tembo wafu.