Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Bi Titi awe na historia, Mama Maria awe na historia na Regia pia !? Aah ! Acheni ujinga bana ! Mkiamka ni Regia, mkilala ni Regia mkila pia ni Regia, amekua Cocacola !Ahsante, hayo pia ni mawazo ya mtu mwenye akili zake timamu. We cannot blem on you maana your thinking capasity myt be low or some gb in yo memory are empty au hukujua ulichokua unaandika au umesahau topic inahusu nini. Topic inahusu kuweka kumbukumbu kwa ajili kwa vizaz vijavyo, kuwaeleza Regia alikuwa nani ktk ulingo wa siasa za tz na kama mbunge, alikuwa na uwezogani binafsi ambao si tu wabunge wote female wa ccm bali hata wabunge 10 male "kama si wote" wa ccm hawakuwa nao, so we need contributio, view, opinion and critics as well.
IT IS NOT IMPORTANT IF YOU DONT FEEL!!!