Biography Ya Regia Mtema

Jul 14, 2008
1,820
1,031


Uandishi wa Kitabu cha Marehemu Regia Mtema (Biography)

Kamati Teule iliyochaguliwa kuanzisha Taasisi ya Regia Mtema Foundation imedhamiria kufuatilia kuandikwa kwa kitabu cha Marehemu Regia Mtema kufuatia azimio lililoafikiwa katika kikao cha kwanza cha Marafiki wa Regia pale British Council na baadaye kuwekewa uzito katika kikao cha Kamati Teule.

Kamati Teule sasa inapenda kutoa fursa ya kualika mtu au kampuni yeyote ambayo inaweza kuifanya kazi hiyo ya uandishi kwa uharaka, ustadi na ubora wa hali ya juu. Itahitajika kujua mchanganuo wa gharama zote za zoezi zima.

Kazi hii inatarajiwa itahusisha kuweka kumbukumbu ya historia ya Regia, Kazi mbalimbali alizofanya, picha nk. nk.

Kama wewe ni mojawapo wa waandishi wa Biography au unamfahamu yeyote, tafadhali naomba tuwasiliane moja kwa moja kwa PM au kupitia barua pepe sam@danimex.com.
 
Wazo zuri, nafikiria namna nitakavyoweza kushiriki kwani naamini vizazi vijavyo kujua mchango wa Regia.
 
Wazo zuri, nafikiria namna nitakavyoweza kushiriki kwani naamini vizazi vijavyo kujua mchango wa Regia.

Karibu sana. Unaweza kutoa Mchango wako wa hali na mali.

Kama una Mwandishi mzuri unamfahamu tafadhali tujulishe.
 
  • Thanks
Reactions: FJM


Uandishi wa Kitabu cha Marehemu Regia Mtema (Biography)

Kamati Teule iliyochaguliwa kuanzisha Taasisi ya Regia Mtema Foundation imedhamiria kufuatilia kuandikwa kwa kitabu cha Marehemu Regia Mtema kufuatia azimio lililoafikiwa katika kikao cha kwanza cha Marafiki wa Regia pale British Council na baadaye kuwekewa uzito katika kikao cha Kamati Teule.

Kamati Teule sasa inapenda kutoa fursa ya kualika mtu au kampuni yeyote ambayo inaweza kuifanya kazi hiyo ya uandishi kwa uharaka, ustadi na ubora wa hali ya juu. Itahitajika kujua mchanganuo wa gharama zote za zoezi zima.

Kazi hii inatarajiwa itahusisha kuweka kumbukumbu ya historia ya Regia, Kazi mbalimbali alizofanya, picha nk. nk.

Kama wewe ni mojawapo wa waandishi wa Biography au unamfahamu yeyote, tafadhali naomba tuwasiliane moja kwa moja kwa PM au kupitia barua pepe sam@danimex.com.

Wazo zuri ila maelezo hayatoshelezi, Ushiriki upi? kwa cost zipi? n.k
 
Karibu sana. Unaweza kutoa Mchango wako wa hali na mali.

Kama una Mwandishi mzuri unamfahamu tafadhali tujulishe.

kuna JF member anaitwa mtambuzi anajitolea sana kutoa matukio mbalimbali ya kihistoria na kesi mbalimbali, kimsingi najua anachokifanya, ni mwandishi mzuri kwa kujitolea, kwa vile umetangaza na mchanganuo wa gharama, basi atakufaa zaidi!!! ni wazo tu!
 
bomba la idea natamani ingekuwa tayari mtaani tuanze kununua na kuwekeza kwa ajiri ya watoto wetu na vizazi vijavyo
 
@Mtu Mmoja,
Sitaki kuamini kuwa Tanzania tumefikia kwenye level ya kukashfiana kiasi hiki. Na sitaki kuamini kuwa wewe binafsi ni mtu katili. Inawezekana ulikuwa na hasira wakati unaandika hii post lakini niseme inaleta tafsiri mbaya, inastua.
 
sikiliza kaka, najua uchungu wa kufiwa, lakini niambieni kelel yote hii ya regia, regia, regia, kwa lipi hasa?? mwacheni dada wa watu apumzike kwa amani!

IMETOSHA!!
Sijaona mahali Santus ama mwingine yeyote ameandika kuwa kitabu kikiandikwa Regia atafufuka katika mwili?
Na sijui anachoshwaje kwa kukumbukwa?
 
Uandishi uwe wa kuwavutia wasomaji bila kuwachosha. Isiwe uandishi kama ule wa kitabu cha historia cha kawaida tu.
 
Ushauri, wape kazi waandishi zaidi ya watatu ili mwisho uje uchague kazi bora zaidi kati ya zilizoandikwa na waandishi hao badala ya kumtumia mmoja tu na kupata ladha na vionjo kutoka kwa mtu mmoja tu.
 
Mimi nadhani ingekuwa vyema endapo ingeandikwa thread then watu wakafunguka kwa kutoa maoni kwa kiasi gani na namna gani walimfaham Rejia mtema. Experiences zitakazo patikana ndizo haswaa ziingie katika uchapwaji!
 
Sijaona mahali Santus ama mwingine yeyote ameandika kuwa kitabu kikiandikwa Regia atafufuka katika mwili?
Na sijui anachoshwaje kwa kukumbukwa?
Hata mie inanishangaza sana watu humu walivyo bize na huyo Regia ! Ni mtoto wa juzi tu, sasa iweje amefanya makuuuuubwa mpaka muunde tume ya vitabu !? Sanasana mtaandika shule alisoma ! Hayo Mahaba yenu bakini nayo moyoni mwenu msimgeuze mradi, ushauri jengeni kisima au shule ili apate sadaka 'tul jaari'ah'
 
Wangwe hakuwa anajichanganya na watu km regia
Wangwe ni Mbunge wa kuchaguliwa na Regia ni wa kuteuliwa ! Sasa yupi alikuwa na watu !? Hivi Regia aliwahi kuolewa ? Isije ikawa ....................!
 
Hata mie inanishangaza sana watu humu walivyo bize na huyo Regia ! Ni mtoto wa juzi tu, sasa iweje amefanya makuuuuubwa mpaka muunde tume ya vitabu !? Sanasana mtaandika shule alisoma ! Hayo Mahaba yenu bakini nayo moyoni mwenu msimgeuze mradi, ushauri jengeni kisima au shule ili apate sadaka 'tul jaari'ah'

kawepo muda mchache lakini kafanya makubwa..labda kama hukuwa ukifuatilia kazi zake.. na hata cku ya kumuaga pale karimjee wabunge walishauriwa na spika waige na waishi kama regia..nadhani hata yeye alijua hawezi kuishi kama regia..ni vema japo hayupo lakini akaendelea kuishi..kama visima alishajenga mwenyewe..na shule alishachangia mabati..so kama ni sadaka alishaikamilisha mwenyewe..
 
kawepo muda mchache lakini kafanya makubwa..labda kama hukuwa ukifuatilia kazi zake.. na hata cku ya kumuaga pale karimjee wabunge walishauriwa na spika waige na waishi kama regia..nadhani hata yeye alijua hawezi kuishi kama regia..ni vema japo hayupo lakini akaendelea kuishi..kama visima alishajenga mwenyewe..na shule alishachangia mabati..so kama ni sadaka alishaikamilisha mwenyewe..
Hayo makubwa ya muda mchache ni yapi !? Wakati mwingine hata Baba akileta kitoweo nyumbani mnamsifia wakati ni wajibu wake ! Alifanya kazi ya kipato gani mpaka awe na uwezo wa kuchangia mashule na kujenga visima ? Hata EL akifa leo, tutaambiwa na Nape tuige mfano wake ................................. aaaaah ! Mnatuchosha banaa !
 
azo zuri sana

Ila naona taarifa ipo kimini sana....

Changanua mpango, resources, timelines (kama zipo etc)

Ombi binafsi: Napenda kujua kama wanafamilia wameridhia?? kwani wao na hasa twin wanajua a-z ya mtu wetu
 
Hata mie inanishangaza sana watu humu walivyo bize na huyo Regia ! Ni mtoto wa juzi tu, sasa iweje amefanya makuuuuubwa mpaka muunde tume ya vitabu !? Sanasana mtaandika shule alisoma ! Hayo Mahaba yenu bakini nayo moyoni mwenu msimgeuze mradi, ushauri jengeni kisima au shule ili apate sadaka 'tul jaari'ah'

Ahsante, hayo pia ni mawazo ya mtu mwenye akili zake timamu. We cannot blem on you maana your thinking capasity myt be low or some gb in yo memory are empty au hukujua ulichokua unaandika au umesahau topic inahusu nini. Topic inahusu kuweka kumbukumbu kwa ajili kwa vizaz vijavyo, kuwaeleza Regia alikuwa nani ktk ulingo wa siasa za tz na kama mbunge, alikuwa na uwezogani binafsi ambao si tu wabunge wote female wa ccm bali hata wabunge 10 male "kama si wote" wa ccm hawakuwa nao, so we need contributio, view, opinion and critics as well.
IT IS NOT IMPORTANT IF YOU DONT FEEL!!!
 
Back
Top Bottom