Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,612
Kada,
MKJJ, kajiweka katika nafasi kama Hakimu Lyamuya. Unless you have personal grudge with MwanaKijiji, your comments above clearly shows us the rotten mentality that has been circulating in minds of Watanzania Watendaji who are afraid to govern using principles and bend to influencial powers and supremacy!
Na wewe labda unaanza kuwa na ka-grudge na Kada. Mwenzio kauliza tena nadhani kwa nia njema kabisa halafu wewe unataka kupindisha dhumuni la yeye kuuliza alichouliza. Hata mimi nilikuwa na swali hilo hilo lakini haina maana hata kidogo kuwa mentality yangu na mimi imeoza.