Waliokuwa wanasafirisha Tani 3 za madawa ya kulevya wafikishwa mahakamani

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,313
Wanandoa pamoja na mfanyakazi wa ndani wa kiume, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin na ethamphetamine zenye uzito wa kilo 3,049.

Wanandoa hao ni Najim Mohamed (52) na mkewe Maryam Mohamed (50) pamoja na mfanyakazi wa ndani, Juma Abbas (37), ambao wamefikishwa mahakamani hapo leo, Desemba 29, 2023 na kusomewa mashtaka mawili na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Hemed Halfan akishirikiana na Frank Michael, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Aaron Lyamuya.

Mwananchi Digital
 
Wanandoa pamoja na mfanyakazi wa ndani wa kiume, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin na ethamphetamine zenye uzito wa kilo 3,049.

Wanandoa hao ni Najim Mohamed (52) na mkewe Maryam Mohamed (50) pamoja na mfanyakazi wa ndani, Juma Abbas (37), ambao wamefikishwa mahakamani hapo leo, Desemba 29, 2023 na kusomewa mashtaka mawili na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Hemed Halfan akishirikiana na Frank Michael, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Aaron Lyamuya.

Mwananchi Digital
Kumbe tani2,2ni sawa kusafirisha naanza kesho
 
Wakaanzishe ibada huko Rockup. Maana duuh..nimemmiss yule dada wa vibobo
Hivi hawajatokaga kweli hao?

Maana nilisikia kukata rufaa.

Na majaji wetu rufaa ni "biashara" zinazowalipa sana hasa.

Maana kati ya rufaa 10 ukisikiliza hukumu zake utakuta ni mbili tu zinazotupiliwa mbali, zingine zote lazima watu washinde.

Ni mwendo wa kupindisha pindisha tu maneno, procedure za ukamataji, procedure za uandikaji wa mashitaka nk nk.

Ukihiyo huo unafanywa na watu "profeshinal"kabisa, lengo likiwa ni kupindisha sheria na rushwa!
 
Tani tatu Tz kwa sasa siyo njia tuu ya kupitisha imekuwa main road aiseee.
 
Back
Top Bottom