Binti nimpendae anataka hela tu

Binti nimpendae anataka hela tu

kwa nini umemchagua ambae hana hela sasa? manake ni chaguo lako hilo.. inatakiwa upate anaejitegemea kwa hivyo vitu vidogo vidogo kama peruvian hair na kodi ya nyumba nk.. wewe upigwe mizinga mitakatifu kama baby nimepata kiwanja nimepungukiwa milioni 10 niongezee, au nimechoka hii IST nataka Mark X bby nina milioni tano niongezee..
 
Mkuu mpe tuu hela wala usihesabu umempa kiasi gani...we mpe tuuu...nasema mpeee...na wewe utaona zitakavyoongezeka...toa hela upate hela...upate akili ya kutafuta...
sawa namimi ntampa tu mpaka atakimbia
 
Hawa wanawake wanatuchunaga sana wanaume lakini ndo hivyo hela zote zinaishia kwenye vipodozi na makeup maamaeeeee
 
Mfanye apendeze zaidi azidi kuwavutia wenye pesa za uhakika zisizo na mawazo
 
No Romance Without Finance

Romance can wait. Older people used to say, "Romance not going anywhere, it is not running away" and if it could be finished it would be done before you were born. So, if you are convinced that you’ve found the one and there is a financial challenge, you can put the romance on hold and sort out yourself. What I am really saying right now is this — if you are thinking romance and there is no finance, think twice!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom