Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,025
umri upo.Mapenzi hayana umri km hutaki wskusalimie waambie
Huwa siitiki shikamo hizo kwani nyingi za kinafiki.D.D.DShikamoo kaka
Binti ana date wazee kabisa alafu anamwamkia kijana wa kiume we unaona sawa kweli?Mapenzi hayana umri km hutaki wskusalimie waambie
Kweli mkuu, me ndo nawakaushiaga sana had wenyw wanacome downHuwa siitiki shikamo hizo kwani nyingi za kinafiki.D.D.D
Inaonyesha hujakutana na kisanga hicho usinge sema haya. Wanakera sana hawa viumbe kakaTatzo Ni shikamoo au tatzo ni kuliwa na wakubwa kuliko yeye?
Kama yote sio majibu tafuta Hela ataacha kukuamkia utaitwa dadii au beby
Nani kasemaaumri upo.
Inategemea na salami wenyewe siyo lazima iwe shikamooBinti ana date wazee kabisa alafu anamwamkia kijana wa kiume we unaona sawa kweli?
Kweli kabisa,maisha yalikuwa matamu sana enzi zenuAaah ndio utandawazi enzi zetu hayo mambo haya Kwepo kabisa
Wengi wenu ndo salaam zenu,Lakini nyingi salaam hizo hazitoki moyoniInategemea na salami wenyewe siyo lazima iwe shikamoo
Hujamsikia vizuri.Kuna katabia huwa sikipendi kwa hawa viumbe wanawake Especially mabinti.Yani sipendi hii tabia,Ni hivi unakuta binti umemzidi umri sawa Lakini anatembea watu wakubwa zaidi yako kiumri alafu akikuona anakupa shikamoo ya uoga.Binti mdogo anatembea na wababa alafu anakuamkia wewe kijana tena kwa wasiwasi hii imekaje wadau..
Nawasilisha