Natafuta pesa kwanza wanaume wanachosha mnoo full stressMtoto mzuri kama wewe kuwa single ndo nini???!
Hata yule jamaa wa JF amezingua jamani?Natafuta pesa kwanza wanaume wanachosha mnoo full stress
Akikuamkia muulize ndo utapata jibu sahihi mkuu, huku sisi tutakupa majibu ya kubahatisha tuKuna katabia huwa sikipendi kwa hawa viumbe wanawake Especially mabinti.Yani sipendi hii tabia,Ni hivi unakuta binti umemzidi umri sawa Lakini anatembea watu wakubwa zaidi yako kiumri alafu akikuona anakupa shikamoo ya uoga.Binti mdogo anatembea na wababa alafu anakuamkia wewe kijana tena kwa wasiwasi hii imekaje wadau..
Nawasilisha
HahahahahahaTatzo Ni shikamoo au tatzo ni kuliwa na wakubwa kuliko yeye?
Kama yote sio majibu tafuta Hela ataacha kukuamkia utaitwa dadii au beby
Shikamoo kaka,,,hahahahahhaahha leo utaamkiwa humu hadi upasuke kwa hasiraKuna katabia huwa sikipendi kwa hawa viumbe wanawake Especially mabinti.Yani sipendi hii tabia,Ni hivi unakuta binti umemzidi umri sawa Lakini anatembea watu wakubwa zaidi yako kiumri alafu akikuona anakupa shikamoo ya uoga.Binti mdogo anatembea na wababa alafu anakuamkia wewe kijana tena kwa wasiwasi hii imekaje wadau..
Nawasilisha
Wananyima kWe muulize tu unanisalimia unataka kuninyima nini?
Mi nazani wakati wa kutafuta dawa kwa ajili yaonaona wanakukera sana mkuu, pole ndivyo walivyo hawa aseeh
Unataka kuninyima nini wewe binti mremboShikamoo kaka,,,hahahahahhaahha leo utaamkiwa humu hadi upasuke kwa hasira
sasa utakwepaje kusalimiwaMi nazani wakati wa kutafuta dawa kwa ajili yao
Dawa ni kumlambisha dyudyu tusasa utakwepaje kusalimiwa
Ili heshima iwepo au sioDawa ni kumlambisha dyudyu tu
Mimi wala sio mrembo,,,nina sura ya babu yangu aliekuaga mhenga zamaniUnataka kuninyima nini wewe binti mrembo