Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 6,706
- 12,446
Mi uwa namtongoza kabisa ili aache iyo tabia ya kuniamkia
Dunia sio fear kabisa.Alafu jaquline ndo akupe shikamoo we unaitikaKwa hiyo Mzee Mengi kumuoa Jaquiline mtasemaje hapo?
Inauma kweli wangu,we acha tu hakuna namna za kuitikia Lakini kishingo UpandeInauma zaidi pale anapomuita Baba, Mjomba au Kaka ako Baby alafu wewe anakupa shkamoo.
Fear#fairDunia sio fear kabisa.Alafu jaquline ndo akupe shikamoo we unaitika
mm nipo single huyo wakumpiga mizinga namtoa wapi?? Si kweli ila wengi wanaamini hivyo kutokana na michango yangu kwenye mada km hizo, istoshe kuna uzi niliwahi kuandikaWanadai kuwa eti wewe ni kinara wa hiyo namba 3!!........Kuna ukweli wowote kwenye hilo jamani?
Wengi wenu ndo salaam zenu,Lakini nyingi salaam hizo hazitoki moyoni
NashukuruFear#fair
Kweli mkuu wanakera alafu wanajuwa ila maksudi tuWapo humu wengi tu
Hatutaki shikamoo zao basi mkuu,kwani kuna tatizoWewe inakuhusu nini!??
Nakutana navyo sana maana shikamoo hainip shida naweza nkakudinya na shikamoo ya goti unapigaInaonyesha hujakutana na kisanga hicho usinge sema haya. Wanakera sana hawa viumbe kaka
Daah hebu funguka kidogo huwa unatumia mbinu gani kuwalamba hawa vigoliNakutana navyo sana maana shikamoo hainip shida naweza nkakudinya na shikamoo ya goti unapiga
Ikija shikamoo ipokee itaonyesha thaman yako then go extra mileDaah hebu funguka kidogo huwa unatumia mbinu gani kuwalamba hawa vigoli
Ukipokea means umekubali kuwa mdogo wako,pia anakuondoa Katika nafasi ya kutia vocalIkija shikamoo ipokee itaonyesha thaman yako then go extra mile
Endlea kuamn hvyo mkuu itikia shikamoo ishi kiutuzma kwake na mwaga sera kiutu uzmaUkipokea means umekubali kuwa mdogo wako,pia anakuondoa Katika nafasi ya kutia vocal
Kuna katabia huwa sikipendi kwa hawa viumbe wanawake Especially mabinti.Yani sipendi hii tabia,Ni hivi unakuta binti umemzidi umri sawa Lakini anatembea watu wakubwa zaidi yako kiumri alafu akikuona anakupa shikamoo ya uoga.Binti mdogo anatembea na wababa alafu anakuamkia wewe kijana tena kwa wasiwasi hii imekaje wadau..
Nawasilisha
Mtoto mzuri kama wewe kuwa single ndo nini???!Bado sijaelewa point yako ni ni nini wewe unataka salamu yakutoka moyoni au unataka kigegedeo? Au hutaki wstembee ns wazee
mm nipo single huyo wakumpiga mizinga namtoa wapi?? Si kweli ila wengi wanaamini hivyo kutokana na michango yangu kwenye mada km hizo, istoshe kuna uzi niliwahi kuandika
So wengi watanihisi hivyo but nipo tofauti kidogo