Duh, uko makini. Step ya kwanza jicho linatua kifuani!!😀😀😀Naona kifuani pako makini si mchezo.....
Umesema kweli kweliHivi inakuwaje Binadamu atoke angani hadi ardhini asiwe hata na mchubuko wowote? Na kama issue ni Nguvu za giza hanazo tena kwasababu alishakiuka Masharti au nawaza tofauti?
Sure mkuu...ila inabidi kuacha mazoea na watu usiofahamiana nao...esp. Kwenye mambo ya vyakula, Nguo,uchawi wa kwenye chakula ni mbaya zaidiDuuuhh yaani miye mwenyewe wananitesa na familia yangu mpk naomba poo. Yaani Hawa wanatakiwa wachomwe live witnessj
Sure mkuu...ila inabidi kuacha mazoea na watu usiofahamiana nao...esp. Kwenye mambo ya vyakula, Nguo,uchawi wa kwenye chakula ni mbaya zaidi
mbona kanaonekana ka mboga flani kanapendeza? hawa ndo wanakujaga wakati tumelala wanatuchezeeeeea ukiamka asubhi boxa chafu.....wamekafanyaje sasa baada ya hapo?
we jamaa umenifanya nichekempaka majirani wameamka, kwa hiyo hayo ndio wanachafua boxer zetu kwa sababu hawajui kuoga.......tumewaza pamoja aisee..Utapeli mtupu. Kuna mtu anataka kuanzisha kikundi cha dini hapo kwa kisingizio cha kutoa pepo huyo dada
HUYU NI MGONJWA WA AKILI ASAIDIWE. HAKUNA CHA MLOZI WALA MCHAWII HAPO. TUACHE KUWAONA WANAWAKE WALIOCHANGANYIKIWA WAKIWA HAWAJAVAA VIZURI TUKAWABANDIKA KUWA NI WACHAWI. MBONA WANAUME WENGI TUWALIOCHANGANYIKIWA HUWA WANFANYA MATENDO HAYO HAWASEMWI NI WACHAWI? NI MARA NYINGI HIZI RIPOTI ZA KUANGUKA TOKA KWENYE UNGO HUWA NI WANAWAKEMuongo na mulozi ni watu wakuchomwa.