Binti mchawi adondoka makaburini

Binti mchawi adondoka makaburini

Naona kifuani pako makini si mchezo.....
Halafu hauna hili wala lile! Unaangalia umri na kifuani panadai, unaamua kuchumbia ili ufuge uwe unayachezea muda na wakati uupendao!
Maskini kumbe unaingia lichaka!
Wanaume tumepewa mtihani mgumu sana, hasa linapokuja suala la kutafuta mchumba.
Moja ya mitihani hiyo ni hilo la uchawi, ambapo muoaji ni vigumu sana kujua kabla ya kuoa na kuanza kuishi naye.
 
Hivi inatokeaje Binadamu atoke angani hadi ardhini asiwe hata na mchubuko wowote? Na kama ni Ushirikina unakuwa haupo tena kwasababu alishakiuka Masharti au nawaza tofauti?

Huo ni mchezo mkuu. Hapo kuna watu baadaye watajitokeza wadai ni "wataalamu" ndio wamehusika. Wanaweza kuwa waganga au watu Wa madhehebu ya Kilokole.

Sasa hebu tuhoji kwa mantiki ya kawaida:

1. Ikiwa chanzo cha kudondoka ni yeye kuchungulia ina maana hicho chombo kina madirisha?

2. Kama hicho chombo kina madirisha na mtu yeyote aliyemo chombonu akichungulia anadondoka ina maana huyo amedondoshwa na nguvu za kiasili kama upepo na gravity.

3. Kama ndivyo kwamba nguvu za nje ndio zimemdondosha imekuwaje hao wengine wasalimike wakati kwenye wamo watu zaidi ya mmoja? Ina maana hizo nguvu za nje ya chombo zili-act kwa mtu mmoja tu?
 
Hivi inatokeaje Binadamu atoke angani hadi ardhini asiwe hata na mchubuko wowote? Na kama ni Ushirikina unakuwa haupo tena kwasababu alishakiuka Masharti au nawaza tofauti?

Hizi pich zina walakini hazionyeshi usbahidi wowote hata chembe
 
Huo ni mchezo mkuu. Hapo kuna watu baadaye watajitokeza wadai ni "wataalamu" ndio wamehusika. Wanaweza kuwa waganga au watu Wa madhehebu ya Kilokole.

Sasa hebu tuhoji kwa mantiki ya kawaida:

1. Ikiwa chanzo cha kudondoka ni yeye kuchungulia ina maana hicho chombo kina madirisha?

2. Kama hicho chombo kina madirisha na mtu yeyote aliyemo chombonu akichungulia anadondoka ina maana huyo amedondoshwa na nguvu za kiasili kama upepo na gravity.

3. Kama ndivyo kwamba nguvu za nje ndio zimemdondosha imekuwaje hao wengine wasalimike wakati kwenye wamo watu zaidi ya mmoja? Ina maana hizo nguvu za nje ya chombo zili-act kwa mtu mmoja tu?
Mkuu kwa haya Matukio ya Wachawi kudondoka toka angani hadi ardhini maswali ni mengi kuliko majibu., yani vitu vingi haviingii akilini labda Wataalam waje watupitishe kidogo!
 
Ashukuru kaangukia kwenye makaburi, fikiria kama angedondokea baharini au ziwani .... Si angekuwa chakula ya samaki?
 
Hizi pich zina walakini hazionyeshi usbahidi wowote hata chembe
Mkuu hv inaingia akilini Binadamu anaweza toka angani hadi ardhini bila ya kuwa hata na mchubuko kweli ukizingatia hana hizo zinazoitwa nguvu za Kichawi mana alishakiuka vigezo na masharti?,
 
Huo ni mchezo mkuu. Hapo kuna watu baadaye watajitokeza wadai ni "wataalamu" ndio wamehusika. Wanaweza kuwa waganga au watu Wa madhehebu ya Kilokole.

Sasa hebu tuhoji kwa mantiki ya kawaida:

1. Ikiwa chanzo cha kudondoka ni yeye kuchungulia ina maana hicho chombo kina madirisha?

2. Kama hicho chombo kina madirisha na mtu yeyote aliyemo chombonu akichungulia anadondoka ina maana huyo amedondoshwa na nguvu za kiasili kama upepo na gravity.

3. Kama ndivyo kwamba nguvu za nje ndio zimemdondosha imekuwaje hao wengine wasalimike wakati kwenye wamo watu zaidi ya mmoja? Ina maana hizo nguvu za nje ya chombo zili-act kwa mtu mmoja tu?
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza juu ya hili. Halafu wanapoanguka toka juu hawapati majeraha hata kidogo? Au ndio nguvu hizo bado zinakuwepo na kuwafanya watue chini salama?
 
Mkuu hv inaingia akilini Binadamu anaweza toka angani hadi ardhini bila ya kuwa hata na mchubuko kweli ukizingatia hana hizo zinazoitwa nguvu za Kichawi mana alishakiuka vigezo na masharti?,
Hata mimi nimejiuliza hilo pia. Na kuna uwezekano mkubwa mambo mengine hayako kama ambavyo tumeaminishwa.
 
Uncivilization is a major problem in most African countries.
 
Asije akawa Chizi......akapewa kesi ya Uchawi na kuhatarisha maisha yake.
anavyoonekana ni chizi kuna kesi nyingi sana machizi wanasingiziwa wachawi na ukizingatia hawawezi kujielezea wanaishia kuuawa au kupelekwa polisi. Labda mshana jr aje atueleze kwa hayo mavazi anaweza kuwa mchawi maana nachojua wachawi uwa wanakuwa uchi na wana mahirizi mwilini
 
Katakuwa kalichelewa kupanda chombo aseee...kwa nini kadondokee makaburini??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom