Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,569
Sio mamba we ni kibokoNaona kifuani pako makini si mchezo.....
Sio mamba we ni kibokoNaona kifuani pako makini si mchezo.....
hapa akichezea mashada ya marehemu
Mi kuna kitu nilifanyiziwa ofisini nikasema kweli kuna wataalamu asee,Basi tuu wabaya hawana sababu, mfano ofcn sina wa kushare nae chochote. Lakini kila ukiingia ofc anaumwa mpk utoke ndiyo unapata nafuu,kichwa kinapotokea kinauma mpk machozi.
Mi kuna kitu nilifanyiziwa ofisini nikasema kweli kuna wataalamu asee,
Wanakutesaje mkuu,mhhhh naogopaa
Ni ngumu mpk yakukute ndiyo utajua mpendwa wangu.
Hakuna kes ya uchawi mkuuAsije akawa Chizi......akapewa kesi ya Uchawi na kuhatarisha maisha yake.