ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,913
- 2,967
mbona kanaonekana ka mboga flani kanapendeza? hawa ndo wanakujaga wakati tumelala wanatuchezeeeeea ukiamka asubhi boxa chafu.....wamekafanyaje sasa baada ya hapo?

mbona kanaonekana ka mboga flani kanapendeza? hawa ndo wanakujaga wakati tumelala wanatuchezeeeeea ukiamka asubhi boxa chafu.....wamekafanyaje sasa baada ya hapo?

Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza juu ya hili. Halafu wanapoanguka toka juu hawapati majeraha hata kidogo? Au ndio nguvu hizo bado zinakuwepo na kuwafanya watue chini salama?
Kako bomba kweli, ukikosa elimu watu watakutumia kwenye imani za uzuzu kama hizi, kapate elimu katengeneze maisha tu, hakuna kitu kama hicho wakizungumzacho..Naona kifuani pako makini si mchezo.....
Mkuu hiyo ni sayansi ya asili. Kupaa na ungo kupo. Muulize Mshana Jr akuelezee kwa undaniHakuna kitu kinaitwa kupaa kwa ungo, hii ni dhana tu imejengwa kichwani mwa watu. Bila sayansi hakuna kupaa. Ndivyo ninavyoamini.
Tusisahau pia mabinti wengi wa kazi za ndani(house girls) wengi ni wachawi balaa
Ndio maana mimi huwa naenda nao kwenye maombi kanisani hawa mabinti wa kazi kabla ya kuanza kazi



ila ana macho makali yaani mkikutanisha macho unanyong'onyea yule nadhani hakuwa wa kawaida. Lazima alikuwa design hizihizi.Sina utani na Jr Mshana labda kama unataka kumuuliza kupitia mgongo wangu.Mkuu hiyo ni sayansi ya asili. Kupaa na ungo kupo. Muulize Mshana Jr akuelezee kwa undani
chombo kilitua makaburini so wakati kina take off ndo alidondokaMambo ya kupangwa yanapopangwa ili yaonekane yamebeba nguvu za kipekee lazima yaache gaps tu! Kama mtu amedondoka kwa nini aangukie makaburini? Ina maana ilikuwa coincidence tu au vipi? Suala la mtu kukutwa uchi haitoshi kuthibitisha huyo mtu alikuwa akifanya jambo la nguvu za kipekee. Hata vichaa hukaa uchi. Na pia huyo anaweza kuwa amepewa dawa za kulewesha akiwa usingizini na watu wenye nia ya kuonekana wana nguvu juu ya "uchawi" na kisha kuchukuliwa na kwenda kuwekwa huko makaburini.
tumemvalishaMbona ana nguo sasa
Kwa kweli...kitaaa wamejaa, makazini ndo usiseme mtu unalogwa hadi unasahau kuvaa chupi...yaaani
Ndicho kitakachofatia!Utapeli mtupu. Kuna mtu anataka kuanzisha kikundi cha dini hapo kwa kisingizio cha kutoa pepo huyo dada
Sio kifuani tu,zoom picha ya pili uone upaja ulivononaNaona kifuani pako makini si mchezo.....