Binti mchawi adondoka makaburini

Binti mchawi adondoka makaburini

Kwani huyo mchawi kakamatwa akiwa amevaa au uchi wa mnyama ?
 
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza juu ya hili. Halafu wanapoanguka toka juu hawapati majeraha hata kidogo? Au ndio nguvu hizo bado zinakuwepo na kuwafanya watue chini salama?

Mambo ya kupangwa yanapopangwa ili yaonekane yamebeba nguvu za kipekee lazima yaache gaps tu! Kama mtu amedondoka kwa nini aangukie makaburini? Ina maana ilikuwa coincidence tu au vipi? Suala la mtu kukutwa uchi haitoshi kuthibitisha huyo mtu alikuwa akifanya jambo la nguvu za kipekee. Hata vichaa hukaa uchi. Na pia huyo anaweza kuwa amepewa dawa za kulewesha akiwa usingizini na watu wenye nia ya kuonekana wana nguvu juu ya "uchawi" na kisha kuchukuliwa na kwenda kuwekwa huko makaburini.
 
Hakuna kitu kinaitwa kupaa kwa ungo, hii ni dhana tu imejengwa kichwani mwa watu. Bila sayansi hakuna kupaa. Ndivyo ninavyoamini.
 
Kwa huko songea ni mambo ya kawaida sana
 
Naona kifuani pako makini si mchezo.....
Kako bomba kweli, ukikosa elimu watu watakutumia kwenye imani za uzuzu kama hizi, kapate elimu katengeneze maisha tu, hakuna kitu kama hicho wakizungumzacho..
 
Hakuna kitu kinaitwa kupaa kwa ungo, hii ni dhana tu imejengwa kichwani mwa watu. Bila sayansi hakuna kupaa. Ndivyo ninavyoamini.
Mkuu hiyo ni sayansi ya asili. Kupaa na ungo kupo. Muulize Mshana Jr akuelezee kwa undani
 
Tusisahau pia mabinti wengi wa kazi za ndani(house girls) wengi ni wachawi balaa
Ndio maana mimi huwa naenda nao kwenye maombi kanisani hawa mabinti wa kazi kabla ya kuanza kazi

Nimeogopa kuna dada wa kazi nimemuondoa kwa ndugu yangu kinguvu juzi kati hapa alikuwa hasomeki mkali kwa boss wake halafu ndugu yangu alikuwa anamuogopa ila ana macho makali yaani mkikutanisha macho unanyong'onyea yule nadhani hakuwa wa kawaida. Lazima alikuwa design hizihizi.
 
Mambo ya kupangwa yanapopangwa ili yaonekane yamebeba nguvu za kipekee lazima yaache gaps tu! Kama mtu amedondoka kwa nini aangukie makaburini? Ina maana ilikuwa coincidence tu au vipi? Suala la mtu kukutwa uchi haitoshi kuthibitisha huyo mtu alikuwa akifanya jambo la nguvu za kipekee. Hata vichaa hukaa uchi. Na pia huyo anaweza kuwa amepewa dawa za kulewesha akiwa usingizini na watu wenye nia ya kuonekana wana nguvu juu ya "uchawi" na kisha kuchukuliwa na kwenda kuwekwa huko makaburini.
chombo kilitua makaburini so wakati kina take off ndo alidondoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom