Wenye baba zenu hongeren sn na mshukurun mungu sn, ktk vitu ambavyo vimeniumiza ktk maisha yangu nikukosa mapenzi ya baba na sio kwmb alifarik, hatukuwa tunajua alipo ni kitu kigumu sn ndugu sn, baba na mama ni pande mbili za sarafu moja zinategemeana, wote wana umuhimu ktk mukuzi ya mtoto, bora ujue kwmb lbd alifariki angalau utakua huumii sn lkn kutokujua ni yupi, yuko wap, na je anafahamu km anawatoto au hafahamu hilo ni tatizo.
Hata mama ajitahd vip still kuna nafas tu atahitajika kusimama baba. Nampendasn mamangu na kajitahd sn mpk hapa nilipofika ni juhud zake na naziheshimu mno lkn bd kukosa nafas ya kusema maneno km "shikamoo baba" kwangu ni ndoto mpk sasa ninaandika comment. Lbd niwe naitoa kwa wengne lkn sio kwa aliyenizaa.
Ushauri wangu kwa wote (wanaume na wanawake) kuna umuhim mkubwa kwa wazazi wote wawil kushirik ktk malezi ya watoto unless kuna sababu zisizozuilika kwa kutokuwepo mmoja. Naomba niishie hapa unaweza usiamini ila hii thread imenitoa machozi.