isije kuwa kifafa we unasema mapepoMapepo yake siyo ya kupiga kelele. Ana jikunjakunja tu na kurusha miguu na mikono huku na kule
SOMO.
Kuanzia hapo nimekoma, nikipata binti nampeleka hospital kupima AFYA then kanisani aombewe.
KiloMoja
Pole yake sana mtoa mada..
Bahati yake ajakabwa koo na kutokwa povu...
Sometimes siyo mapepo... Wengine wana ile kitu wanasema mwezi mchanga... Yani wanawehuka na kuhangaika mpaka huruma...