Binti Kapandisha Mapepo Gheto

kilomoja

Member
Dec 4, 2015
64
89
Habari zenu wakuu.

Weekend hii nilikuwa na mihadi na binti mmoja hivi nilikutana naye nikiwa kwenye harakati za kusaka pesa.

Nikaimbisha binti akaelewa somo. Huku na kule tukapanga weekend hii tuivunje amri ya sita. Binti ilifika muda mida ya mchana, tukala vizuri. Mida flani mvua akaanza nikaona ndio muda muafaka wa kugegeda papuchi kwa ndomu.

Tumamaliza mgegedo muda wa kwenda kuoga, binti akaanguka chini, kuna meza ya kioo pale chumbani akaipiga teke ikavunjika na kumkata mguu. Akazidi kupiga kelele, nikaona huu ni msala.
Nikatamani kwenda nje kuomba msaada nikashindwa, kwa sababu alikuwa naked kabsa.

Nikaona hamna namna, nikaanza kukemea na nikiwa na ki-boxer changu. Kemea kemea, wapi. Mwishoe nikaamua nimvalishe nguo ili angalau nimtoe nje. Nili fight kumvalisha nikafanikiwa. Nikamtoa nje. Akagalagala kwenye mkeka mwisho akatulia.

SOMO.
Kuanzia hapo nimekoma, nikipata binti nampeleka hospital kupima AFYA then kanisani aombewe.

KiloMoja
 
Mkome sio kila ving'aavyo ni dhahabu.
Mtakuja kula hata papuchi za majini.

"All that glitters is not gold"

upload_2017-5-23_17-32-8.jpeg
 
Habari zenu wakuu.

Weekend hii nilikuwa na mihadi na binti mmoja hivi nilikutana naye nikiwa kwenye harakati za kusaka pesa.

Nikaimbisha binti akaelewa somo. Huku na kule tukapanga weekend hii tuivunje amri ya sita. Binti ilifika muda mida ya mchana, tukala vizuri. Mida flani mvua akaanza nikaona ndio muda muafaka wa kugegeda papuchi kwa ndomu.

Tumamaliza mgegedo muda wa kwenda kuoga, binti akaanguka chini, kuna meza ya kioo pale chumbani akaipiga teke ikavunjika na kumkata mguu. Akazidi kupiga kelele, nikaona huu ni msala.
Nikatamani kwenda nje kuomba msaada nikashindwa, kwa sababu alikuwa naked kabsa.

Nikaona hamna namna, nikaanza kukemea na nikiwa na ki-boxer changu. Kemea kemea, wapi. Mwishoe nikaamua nimvalishe nguo ili angalau nimtoe nje. Nili fight kumvalisha nikafanikiwa. Nikamtoa nje. Akagalagala kwenye mkeka mwisho akatulia.

SOMO.
Kuanzia hapo nimekoma, nikipata binti nampeleka hospital kupima AFYA then kanisani aombewe.

KiloMoja
Ukakemea? Yaani unakuwa kwenye uasherati halafu unamkemea bosi wako shetani? Hujui katika uasherati wako ulikuwa unatimiza matakwa yake bosi wako? Una bahati yale mapepo yangekunyonga ndipo ungejua. Anyway, sijui ulikuwa unatumia jina gani wakati ulipokuwa unakemea.
 
Back
Top Bottom