Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,025
[BINTI]:Bibi,hivi kwanini wanaume wanapotutongoza wanatupa zawadi nyingi kweli lakini tukishawakubalia hawatupi zawadi tena na wala hawatu thamini kama mwanzo? [BIBI]:Hahahahaaah!usinichekeshe mjukuu wangu,wewe tangu lini umewahi kuona mvuvi akimlisha samaki chambo mara baada ya kumvua kutoka mtoni,ziwani au baharini?