Jamani naomba tuwe griti thinkers tumuache huyu dada na maisha yake
tunajishusha sana
<br />Mtoa mada na mie naungana na wewe Mwanvita makamba alipendeza kuliko hata mamiss wenyewe<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37221&stc=1" attachmentid="37221" alt="" id="vbattach_37221" class="previewthumb align_center size_large" />
<br />Hapo hamna kitu...anasaidiwa na hela zake tu angekuw huku uswahilini kwetu ambako tunatumia vipodozi vya 500 na tunavaa nuo za bukubuku angekuwa hovyo kabisa...sioni kama ana urembo wowote, soamahani kwa kuwakwaza wale wanaomfagilialk mimi sijaona kinacomfanya mumfagilie...beauty is subjective!!!!
duh.... sawa mkuu na pole yako nimeipokea, LOLTumeacha kule kwenye siasa.........mkuu huku ni jukwaa sawia......pole kwa kuumia
tumbo vipi kama beyonce? au ndo hivyo dada zetu pilau kwa sana!!!
<br /><font size="4">Ah hakuna kitu hapo zaidi ya makemikali kujikoboa usoni mpaka mdomoni, uliona wapi mwaafrika kuwa na mdomo mwekundu hivyo? Mh huo mdomo kama nanii</font>
Hela zake zote anawekeza kwenye makeup
kumbe ni mjaa mzito awwwwwwww hongera sana mammy! utajifungua lini?Nyumba ya udongo haipigwi deki :A S 109:
Hapo yuko ''dede''....mtoto wa kiislamu mbele ya watoto wa kiislamu
huo ni mwanya ama pengo..samahani.! Watu kwa kujibaraguza bana .mungu awabariki na furaha zenu sisi wengine bado tunahuzuni ya maombolezo