Binafsi sina namba ya NIDA

Binafsi sina namba ya NIDA

Tafuta nida jombaa tunapoelekea hata hospitali bila Nida utotoboa maana mifumo yote inawekwa ktk kitambulisho, ata polisi utakuwa upokelewi bila Nida
 
Wakuu mi binafsi sina namba ya NIDA lakin nina passport ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na nimeshasafiri nchi zaidi ya 35. Asa wakuu wa jf mnaniweka kwenye kundi gani? Mnipe mchongo wa kupata namba ya NIDA online mana mi mambo ya kupanga foleni kusubiri masaa siwezi kabisa.
online NIDA processing??? :RUNNING:
 
Wakuu mi binafsi sina namba ya NIDA lakin nina passport ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na nimeshasafiri nchi zaidi ya 35. Asa wakuu wa jf mnaniweka kwenye kundi gani? Mnipe mchongo wa kupata namba ya NIDA online mana mi mambo ya kupanga foleni kusubiri masaa siwezi kabisa.
kwaiyo wew na yule ex wa manara mpo ngoma droo au?
 
Back
Top Bottom