Binafsi sina namba ya NIDA

Binafsi sina namba ya NIDA

Wakuu mi binafsi sina namba ya NIDA lakin nina passport ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na nimeshasafiri nchi zaidi ya 35. Asa wakuu wa jf mnaniweka kwenye kundi gani? Mnipe mchongo wa kupata namba ya NIDA online mana mi mambo ya kupanga foleni kusubiri masaa siwezi kabisa. Cc hajimanara
Kwa hiyo kumuita manara unataka ku-cover nafasi ya zayljsa
 
Mpaka sasa bado sijawahi kukwama
Basi labda bado unaishi kwa shemeji hauna mambo mengi. Kuna maeneo huwezi kutoboa bila NIDA
1. Ardhi
2. Kufungua account
3. Kununua bond
4. Kusajiliwa kwenye mifumo ya serikali
 
Basi labda bado unaishi kwa shemeji hauna mambo mengi. Kuna maeneo huwezi kutoboa bila NIDA
1. Ardhi
2. Kufungua account
3. Kununua bond
4. Kusajiliwa kwenye mifumo ya serikali
Hiyo ukuunganishiwa umeme tu bila nida utoboi
 
Basi labda bado unaishi kwa shemeji hauna mambo mengi. Kuna maeneo huwezi kutoboa bila NIDA
1. Ardhi
2. Kufungua account
3. Kununua bond
4. Kusajiliwa kwenye mifumo ya serikali
Nnavyo ivyo vyote isipokuwa ya tatu! Account ya bank nilifungulia nikiwa nje ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom